MAISHA NA IBADA ZA
LEO.
Fungu Kuu: Warumi
7:24
Ole Wangu, Maskini
{4T 629}
Shetani
amevumbua
mitindo
ya
mavazi
kwa
dhumuni
la
kuzamisha
fikra
za wanawake
katika swala la
mavazi ili waweze
kulifikiria
hata
angalau kidogo.
{1T 521}
Ningependa kwa
dhati
uswa
wa
urefu wa nguo, na
ningesema
kwamnba inchi tisa
kwa kulingana na
mawazo
yangu
kuhusu jambo hili
kama ninavyoweza
kulielezea
jambo
hili katika inchi
1 TIMOTHEO 4:12
Mtu awaye yote
asiudharauujana
wako, bali uwe
kielelezo
kwao
waaminio, katika
usemi
mwenendo,
upendo
imani na
usafi.
{4T 641}
Maneno yetu, matendo,
yetu mavazi yetu ni ni
wahubiri hai wa kila siku,
hutukusanya kwa Kristo
au kututenga mbali naye.
Hili siyo jambo la kipuuzi
la
kukwepwa
kwa
{4T 641}
Ni aibu kwa dada zetu
kusahau tabia zao takatifu
na wajibu wao kwa Mungu
na kuiga mitindo ya dunia.
Siyo kwamba hatufahamu
bali ni ukaidi wa mioyo yetu.
Hatuwezi kuendeleza mivuto
yetu kwa mwenendo huo. Ni
machafu
ya
wanaume
na
wanawake. Kama moyo na tabia
vingekuwafunuliwa
,
katu
kusingekuwa na chochote juu yao
kuhusu mbingu. Hawana wazo la
kweli kuhusu utaratibu, jambo
lakuvutia
na
mwenendo
uliotakaswa
ambao
Mungu
anahitaji kila anayekuja mbele
zake kumuabudu awenao. Mambo
haya hutoa msisitizo gani kwa
KICHO NDANI YA
HABAKUKI 2:20
KANISA
Lakini Bwana
yumo ndani ya
hekalu
lake
takatifu; dunia
yote
na
inyamaze kimya
mbele zake.
{5T 495}
Ni kweli kwamba heshima
katika nyumba ya Mungu
karibia imetoweka kabisa.
Mambo
matakatifu na
mahali
patakatifu
hapatambuliwi
,
matakatifu
na
{5T 491}
Wakristo wanaweza kujifunza
jinsi gani wanapaswa kupajali
mahali
ambapo
Mungu
hukutana
na
watu
wake.
Kumekuwa
na
mabadiliko
makubwa, siyo kwa uzuri bali
kwa ubaya, kwa matendo na
desturi
za
watu
ukirejea
kwenye ibada ya kidini. Vitu
{5T 492}
Wakati watu wa Mungu
wanapoingia
kwenye
ibada,
wanapaswa
kufanya hivyo kwa kicho,
wakitembea
kimya
kuelekea
kwenye
viti
vyao. mazungumzo ya
{5T 493}
Na wote watoke nje bila kusukumana
au kuongea kwa sauti kubwa, wajisikie
kwamba wako mbele za Mungu,
kwamba macho yake yako juu yao, na
kwamba imewapasa kutenda kama
vile wako mbele zake wakimtazama.
Pasiwepo na mtu anayesimama kutoa
umbeya mahali watu wanapopita.
Maeneo
ya
kanisa
yanapaswa
kupambwa na heshima takatifu.
Haipaswi
kufanywa
mahali
pa
Mungu mara
nyingi
amegeuza
uso
wake
asiwatazame
wale
waliokusanyi
ka
kumwabudu.
{5T 499}
Mawazo ya watu wengi mara nyingi
yamekuwa
yakifuatilia
nyaraka
zinazohusu mavazi, na hivyo mawazo
mengi ambayo yasingepaswa kuingia
mioyoni mwa watu wa Mungu sasa
yanaingia. Mungu anapaswa kuwa kiini
cha mawazo ya watu na ibada. Na
chchote kile kinachovuta fikra kutoka
katika utaratibu, huduma takatifu ni
hatia kwake. Maswala yote ya mavazi
yanapaswa kuongozwa kwa umakini
WITO
Warumi 12:1-2
1.Basi,
ndugu
zangu,
nawasihi, kwa huruma zake
Mungu, itoeni miili yenu iwe
dhabihu iliyo hai, takatifu, ya
kumpendeza Mungu, ndiyo
ibada yenu yenye maana. 2.
Wala msiifuatishe namna ya
Mungu
na
Akubar
iki