Hadiyth
Imaam Abu Bakr Ismaa`iyliy
(277-371)
Mfasiri:
Abu Bakr al-Khatwiyb al-Atrush
Imepitiwa Na:
Abu Abdillaah Muhammad Baawazir
1
www.alhidaaya.com
YALIYOMO
Msingi Wa Itikadi Ya Ahlul-Hadiyth .............................................................................. 4
Kauli Kuhusu Majina ya Allaah na Sifa Zake ............................................................... 4
Baadhi Ya Vipimo Hususan Vya Ubwana Wake .......................................................... 5
Kuthibitisha Asmaauhu Al-Husnaa (Majina Mazuri) Ya Allaah Na Swifaatuhul
`Ulaa (Sifa Zake Kuu) ......................................................................................................... 5
Kuthibitisha Sifa Ya Mikono ............................................................................................ 5
Kauli Yao Kuhusu Sifa Ya Uso Wake, Kusikia Kwake, Kuona, Elimu, Uwezo Na
Maneno Yake ........................................................................................................................ 6
Kuthibitisha Mashiy-ah (Matakwa) Ya Allaah.............................................................. 9
Elimu Ya Allaah.................................................................................................................. 10
Qur-aan Ni Maneno Ya Allaah........................................................................................ 10
Matendo Ya Waja Yameumbwa Na Allaah .................................................................. 10
Kheri Na Shari Inatoka Kwa Allaah .............................................................................. 13
Kushuka (Kwa Allaah) Katika As-Samaa' Ad-Dunyaa (Mbingu Ya Dunia)......... 13
Waumini Kumuona Mola Wao Aakhirah ..................................................................... 14
Ukweli Wa Iymaan ............................................................................................................ 15
Kauli Yao Kuhusu Yule Mwenye Kufanya Madhambi Makubwa ......................... 15
Hukmu Ya Mwenye Kuacha Swalah Kwa Makusudi................................................ 16
Kauli Za Wanachuoni Kuhusu Tofauti Kati Ya Uislamu Na Iymaan ..................... 17
Shafaaah (maombezi), Hawdh (Kisima cha Mtume), Maaad (Qiyaamah) Na
Hesabu.................................................................................................................................. 19
Kutoa Ushuhuda Mmoja Katika Watu Wa Tawhiyd Kwa Pepo Au Moto............. 19
2
www.alhidaaya.com
Adhabu Ya kaburi.............................................................................................................. 20
Maswali Ya Munkar Na Nakiyr ...................................................................................... 22
Kuacha Ugomvi Na Majadiliano Katika Dini.............................................................. 22
Ukhalifa (Uongozi) Wa Al-Khulafaa' Ar-Raashiduwn............................................... 23
Ubora Baina Ya Maswahaba ............................................................................................ 23
Kauli Yao Juu Ya wale wanaowachukia Maswahaba................................................. 24
Swalah Ya Ijumaa Nyuma Ya Kila Imaam Muislamu, Sawa Wakiwa Wema Au
Waovu................................................................................................................................... 27
Jihaad Pamoja Na Viongozi Hata Kama Waovu.......................................................... 28
Nchi Ya Kiislamu ............................................................................................................... 28
Matendo Ya Waja Hayawajibishi Kuingia Peponi, Bali Ni Kutokana Na Fadhila
Za Allaah.............................................................................................................................. 28
Allaah Ndiye Ar-Razzaaq (Mwenye Kuruzuku Daima)............................................ 29
Allaah Ndiye Kaumba Mashayatwiyn Na Wasiwasi Wao ........................................ 30
Uchawi Na wachawi .......................................................................................................... 30
Kujitenga Na Bidah .......................................................................................................... 30
Kujifunza Elimu................................................................................................................. 31
Kujizuia [Kuwaongelea Vibaya] Maswahaba ............................................................. 31
Kushikamana Na Jamaaah .............................................................................................. 31
Uwajibu Wa Kushikamana Na Madh-hab Ya Ahlul-Hadiyth, Firqatun-Naajiyah
(Kipote Kitakachookoka) ................................................................................................. 31
3
www.alhidaaya.com
ikoje mikono Yake, kwa kuwa Kitabu cha Allaah (Taala) hakikuzungumzia ni
namna gani ilivyo.
Wala isiitakidike (kwa mtu) ya kwamba Ana viungo, urefu, upana, unene,
wembamba au mfano wa sifa kama hizo ambazo ni mfano wa sifa za viumbe
Wake. Na Yeye (Tabaaraka wa Taala) hakuna kitu mfano Wake, umetukuka
wajihi wa Bwana wetu, Subhaanahu wa Taala.
Hawaamini kama Mu`tazilah wasemavyo kuwa Majina ya Allaah (Azza wa Jalla)
yameumbwa, kama pia wanavyoamini Khawaarij na makundi mengine katika
makundi ya watu wa matamanio (Ahlul-Bidah).
Kauli
Yao
Kwake,
Kuona,
Wao wanathibitisha Uso Wake, Kusikia Kwake, Kuona, Elimu, Uwezo, Nguvu,
Maneno, lakini si kwa njia ya watu wapotofu kama Mu`tazilah na wengine
wanavyosema, isipokuwa ni kama Yeye (Taala) Alivyosema:
6
www.alhidaaya.com
Na Anasema:
Na Anasema:
Wala wao hawajui chochote katika vilio katika (elimu) ujuzi Wake, ila kwa
Atakalo Mwenyewe. [Al-Baqarah 2: 255].
Vilevile Anasema:
Mwenye kutaka utukufu basi utukufu wote uko kwa Allaah. Kwake Yeye
hupanda neno zuri, na amali njema Yeye Huitukuza. Na wanaopanga vitimbi
vya maovu watapata adhabu kali. Na vitimbi vya haovitaondokea patupu.
[Faatwir 35: 10].
7
www.alhidaaya.com
Pia kasema:
Pia kasema:
Hakika Allaah ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti. [AdhDhaariyat 51: 58].
8
www.alhidaaya.com
Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu. [Huwd
11: 37].
Hakika amri Yake Anapotaka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa. [Yaasiyn
36: 82].
Elimu Ya Allaah
Wanasema kwamba hakuna njia kwa mtu yeyote ya kuweza kuzidi Elimu ya
Allaah, na wala hakuna tendo la mtu au matakwa yawezayo kushinda Matakwa
ya Allaah, wala kubadilisha Elimu ya Allaah, kwa kuwa Yeye ni Mwenye ujuzi
[elimu] na hatumbukii kwenye ujinga wala kusahau. Yeye ni mwenye Uwezo na
ambao hakuna awezaye kuushinda.
Sema: Basi Allaah ndiye Mwenye hoja yakukata. Na kama Angelipenda Aangeli
kuhidini nyote. [Al-Anaam 6: 149].
Pia Kasema:
Pia Kasema:
11
www.alhidaaya.com
Pia Kasema:
Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwishaandikwa
katika Kitabu kabla Hatujauumba. [Al-Hadiyd 57: 22].
Nabra-ahaa maana yake ni kuumba bila ya utata wowote katika lugha.
AlhamduliLlaah! Kuhimidiwa ni kwa Allaah, ambaye Ametuhidi kufikia haya.
Wala hatukuwa wenye kuhidika wenyewe ingelikuwa Allaah Hakutuhidi. [AlAaraaf 7 : 43].
Pia Kasema:
12
www.alhidaaya.com
Allaah Angelitaka bila ya shaka Angeliwaongoa watu wote [Ar-Ra`d 13: 31].
Pia Kasema:
Na Angelitaka Mola wako Angewafanya watu wote wakawa ummah mmoja.
Lakini hawaachi kukhitalifiana [Huwd 11: 118].
Pia Kasema:
Isipokuwa wale ambao Mola wako Amewarehemu [Huwd 11: 119].
Zipo nyuso siku hiyo zitakazongara, Zinamwangalia Mola wao. [Al-Qiyaamah
75: 22-23].
Yeye (Subhaanahu wa Taala) Anasema kuhusu Makafiri:
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa (kumuona Allaah). [AlMutwaffifiyn 83: 15].
Ukweli Wa Iymaan
Wanasema kuwa Iymaan ni kauli na matendo na maarifa. Inaongezeka kwa utiifu
na inapungua kwa maasi. Yule anayetii sana Iymaan yake inazidi kuliko yule
mwenye utiifu mdogo.
15
www.alhidaaya.com
Baina ya mja na baina ya Kufru [ukafiri] ni [mtu] kuacha Swalah [Swahiyh atTarghiyb Wat-Tarhiyb, Hadiyth 563. Kutoka kwa Ibn Maajah].
na:
Yeyote mwenye kuacha Swalah basi amekufuru [Swahiyh at-Targhiyb WatTarhiyb, Hadiyth 575].
na:
16
www.alhidaaya.com
Yeyote yule mwenye kuacha Swalah, sina ulinzi wa Allaah kutoka kwake
[Swahiyh at-Targhiyb Wat-Tarhiyb, Hadiyth 569 kutoka kwenye ukusanyaji wa
atw-Twabaraaniy].
Hakika mimi nimeacha mila ya watu wasiomuamini Allaah [Yuwsuf 12: 37].
17
www.alhidaaya.com
Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu... [AdhDhaariyaat 51: 36-7].
Wengine wakasema kuwa Uislamu na Iymaan ni [neno] moja. Kama Alivyosema
Allaah (Azza wa Jalla):
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walioamini. Lakini hatukupata humo ila
nyumba moja tu yenye Waislamu! [Adh-Dhaariyaat 51: 36-37].
Akasema tena:
Na Akasema tena:
19
www.alhidaaya.com
.... hao ndio bora wa viumbe Malipo yao kwa Mola wao ni Bustani za daima
(Peponi). [Al-Bayyinah 98: 7-8].
Pia yule ambaye Mtume (Swalla Allaahu alayhi wa sallam) kamshuhudia Pepo
ambayo yamepokewa katika Hadiyth sahihi, nao (Ahlul-Hadiyth) humshuhudia
[mtu huyo] kwa kumfuata Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu alayhi wa sallam)
na kuthibitisha maneno yake.
Adhabu Ya kaburi
20
www.alhidaaya.com
Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, basi kwa yakini atapata maisha yenye
dhiki, [Twaahaa 20: 124].
Maana yake ni kabla ya kuisha maisha ya duniani, kutokana na kauli Yake
(Subhaanahu wa Taala):
... na Siku ya Qiyaamah tutamfufua hali ya kuwa kipofu. [Twaahaa 20: 124].
Yaani (maana yake) kwamba maisha ya dhiki huja kabla ya siku ya Qiyaamah.
Kutokana na uzoefu wetu wetu Mayahudi, Wakristo na Washirikina wana maisha
ya raha na ustawi. Ni juu yetu kujua ya kwamba dhiki hii haina chochote
kuhusiana na hali ya riziki kwa kuwa (twajua sote kwamba) washirikina wako
katika hali nzuri kuhusiana na riziki hapa duniani. Kikusudiwacho ni maisha
baada ya kifo na kabla ya Qiyaamah.
21
www.alhidaaya.com
Allaah Huwathibitisha imara wenye kuamini kwa kauli ya imara katika maisha
ya dunia na katika Aakhirah. Na Allaah Huwaacha kupotea hao wenye
kudhulumu. Na Allaah hufanya Apendavyo. [Ibraahiym 14 : 27].
Na kufuata haya kwa tafsiri iliyopokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam).
22
www.alhidaaya.com
Pia Kasema:
Yule ambaye Kathibitisha Allaah radhi Zake juu yake, hatokuja kupatwa baada ya
hilo na kitu kitachosababisha kupatwa na hasira za Allaah (Azza wa Jalla). Wale
wanaowachukia na kuwaponda hawapewi uzito wowote na huchukuliwa si
lolote wala chochote.
24
www.alhidaaya.com
25
www.alhidaaya.com
Allaah kaipa Dini uimara kupitia nguvu za Abu Bakr, 'Umar na `Uthmaan; Allaah
Kawapa ahadi ya usalama, walipigana vita na kushinda wao na hawakushindwa,
na walitisha maadui zao na hawakuwahi kutishwa na maadui zao.
Allaah pia Kasema kwa wale waliobaki nyuma na Mtume katika vita ya kwamba
Atawapambanua katika kupigana kwa kauli Yake:
26
www.alhidaaya.com
27
www.alhidaaya.com
Nchi Ya Kiislamu
28
www.alhidaaya.com
Na lau kuwa si fadhila ya Allaah na rahma Yake juu yenu, asingelitakasika
miongoni mwenu kabisa hata mmoja. Lakini Allaah Humtakasa Amtakaye. [AnNuwr 24: 21].
Pia Kasema:
Na lau kuwa si fadhila ya Allaah juu yenu na rahma Yake mngelimfuata
shaytwaan ila wachache wenu tu. [An-Nuwr 4: 83].
Pia Kasema:
Na hakika Allaah (Taala) Humpa riziki, nguvu na chakula kila kiumbe hai katika
maisha yake. Naye Allaah ndiye Huvilisha viumbe waliosalia (wanyama n.k). Na
29
www.alhidaaya.com
ni Yeye ndiye Huruzuku katika (kutoa) Halali au Haramu. Hali kadhalika ni Yeye
ndiye Huruzuku mazuri na yanayotumika katika kupata hayo.
Uchawi Na wachawi
Kujitenga Na Bidah
Wanaonelea kujitenga mbali na Bid ah, pamoja na madhambi, kiburi, majivuno,
ulaghai, hila, rushwa na dhulma. Na wanaonelea (mtu) kuacha kabisa kuleta
madhara kwa watu na kuacha ghiybah (usengenyaji), isipokuwa kwa yule
anayeifanya na kuilingania Bidah hadharani, kumuongelea mtu huyo si
usengenyaji kwao.
30
www.alhidaaya.com
Kujifunza Elimu
Kushikamana Na Jamaaah
31
www.alhidaaya.com
Allaah
Allaah Atujaalie sisi na nyinyi elimu na kuwa na taqwa (uchaji Allaah) kutokana
na shub-hah na upotofu kwa neema na rahma Zake.
32
www.alhidaaya.com