Anda di halaman 1dari 12

HABARI

HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo
No.151
51
Toleo No.

Limesambazwa
kwa Taasisi
Idaranazote
MEM
2015 22 - 28, 2016
Limesambazwa
kwana
Taasisi
Idara
zote MEM Tarehe - 23-29 Januari ,Desemba

Wabunge

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2

Uchimbaji Makaa ya Mawe


Ngaka wamridhisha Prof. Mdoe

Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA

Somahabari Uk.2

Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo

Naibu Waziri wa Nishati na


Madini, anayeshughulikia
Madini Stephen Masele

Naibu Waziri wa Nishati na


Madini anayeshughulikia
Nishati, Charles Kitwanga

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya


Nishati na Madini anayeshughulikia
Mkurugenzi Mtend-Madini, Prof.
James Mdoe
Mkurugenzi
Mkuu wa
aji wa TANESCO,
REA, Dk. Lutengano
Mhandisi Felchesmi
Mwakahesya
UK
Mramba

WACHIMBAJI WA JASI NCHINI WATAKIWA KUUNDA UMOJA

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4

>>5

Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali


kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
kwa
ajili ya News Bullettin
Jarida laGhorofa
Wizarya
a Tano
ya Nishati
au Fika hii
Ofisina
ya Mawasiliano
(MEM) na Madini
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Uchimbaji Makaa ya Mawe


Ngaka wamridhisha Prof. Mdoe

Katapila likiendelea na kazi ya kukusanya mabaki ya makaa ya Mawe


katika kijiji cha Kitai mkoani Ruvuma. Eneo hilo hutumiwa na Malori
kupakia makaa ya mawe yanayotoka katika mgodi wa ngaka uliopo
katika kijiji cha Mtunduwalo mkoani Ruvuma ili kwenda viwandani.

Zuena Msuya Songea

TANCOAL muda wote kuwa na akiba


ya Madini ya Makaa ya Mawe kiasi cha
Tani Elfu 60 kwa ajili ya matumizi ya
erikali imeeleza kuwa
dharura huku kampuni hiyo ikiendelea
imeridhishwa na kasi ya
uchimbaji wa Makaa ya Mawe na shughuli za uchimbaji kama ilivyo
ada.
katika Mgodi wa Ngaka
Alisisitiza kuwa kuna umuhimu wa
uliopo katika Kata ya Luanda
kiasi hicho cha madini hayo kuwepo
mkoani Ruvuma.
muda wote ili kuweza kutumika pale
Kauli hiyo ilitolewa na Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na yanapohitajika kwa dharura.
Vilevile aliitaka kampuni hiyo
Madini anayeshughulikia Madini, Prof.
James Mdoe wakati alipofanya ziara ya kuzalisha Makaa hayo muda kwa
wote kwa kuwa kwa sasa mahitaji ni
kukagua shughuli za uzalishaji Madini
makubwa tofauti na ilivyokuwa hapo
katika mgodi huo unaomilikiwa na
awali ambapo walikuwa wakichimba
kampuni ya TANCOAL kwa ubia na
kwa mahitaji maalum.
Serikali.
Katika hatua nyingine, Prof. Mdoe
Akizungmza mgodini hapo,
aliiagiza kampuni hiyo kuchimba
Prof. Mdoe alisema kuwa licha
visima virefu vya maji kwa vijiji
ya kuridhishwa na kiwango cha
vinavyozunguka mgodi huo ili vinufaike
uchimbaji huo, pia aliitaka kampuni
na kuwepo kwa shughuli za uwekezaji.
hiyo kuongeza kasi zaidi ya uchimbaji
Aidha, Prof. Mdoe aliahidi
ili kutosheleza mahitaji ya watumiaji
kushughulikia changamoto za
kwa wakati. Kampuni hiyo kwa sasa
inasafirisha takribani tani 2000 kwa siku miundombinu ya Barabara ili
kurahisisha utendaji kazi wa kampuni
kwenda kwa wateja.
hiyo na kukidhi mahitahi ya Soko kwa
Kulikuwa na wasiwasi kuwa
sasa.
Makaa ya Mawe hayatoshi, baada ya
Mgodi wa madini ya Makaa ya
kufika hapa nimeridhishwa na shughuli
Mawe wa Ngaka unamilikiwa na
za uchimbaji zinazoendelea, zaidi
kampuni ya TANCOAL na Serikali
mnatakiwa kuongeza kasi kwa kuwa
kupitia Shirika Maendeleo la Taifa (
mahitaji ni makubwa, alisema Prof.
NDC) .
Mdoe.
Mgodi huo una mashapo ya Makaa
Aidha aliitaka Kampuni ya
ya Mawe kiasi cha tani milioni 400.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini


anayeshughulikia Madini, Prof. James Mdoe (Fulana nyeupe)
akioneshwa makaa ya mawe yanayotumika na baadhi ya
viwanda nchini. Anayemuonyesha ni Mkurugenzi Mkuu wa
Kampuni ya TANCOAL inayochimba Madini hayo, Mark
McAndrew.

Sehemu ya Makaa ya mawe yaliyorundikwa katika kituo


kilichopo kijiji cha Kitai tayari kwa kusafirishwa kwenda
Viwandani.

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

TAHARIRI

Desemba 22 - 28, 2016

PROFESA MUHONGO
AKUTANA NA WAZIRI
WA NISHATI ZANZIBAR

Wachimbaji wa Jasi,
Umoja ndiyo nguvu yenu
Hivi karibuni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo, alifanya ziara katika machimbo ya madini ya Jasi
Mkoani Lindi na kuzungumza na wachimbaji wa madini hayo
mkoani humo.
Baada ya kupata wasaa wa kuzungumza ana kwa ana na
Profesa Muhongo, Wachimbaji wa madini hayo walimweleza
changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu
wa vifaa vya uchimbaji madini, ubovu wa miundombinu ya
barabara hususan kipindi cha masika.
Walisema kuwa katika Kipindi cha Masika barabara
zinakuwa hazipitiki na kuleta changamoto ya usafirishaji wa
madini hayo kwani machimbo husika yapo mbali na barabara
kuu.
Aidha walitaja changamoto nyingine zinazowakabili kuwa
ni kutokuwa na taarifa za kutosha za kijiolojia za maeneo
wanayotaka kufanya uchimbaji, soko kusuasua pamoja na
malipo duni.
Ilielezwa kuwa soko la Tanzania limekuwa likisuasua kwani
wanunuzi walio wengi ambao ni kampuni za saruji tayari wana
mzigo wa kutosha na hivyo hawahitaji mzigo mwingine kwa
sasa.
Aidha Profesa Muhongo alielezwa kuwa kwa sasa
wachimbaji wa madini ya Jasi mkoani humo wanauza madini
hayo nje ya nchi ikiwemo Congo, Rwanda, Malawi, Msumbiji
na Zambia.
Akizungumzia changamoto hizo, Profesa Muhongo aliiagiza
Kamati Maalum inayoshughulika na masuala ya madini ya Jasi
na Makaa ya Mawe iliyo chini ya Uenyekiti wa Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa James Mdoe
kuhakikisha inakuwa na mikakati madhubuti ya kumaliza
changamoto za Wachimbaji hao.
Vilevile alisema kuwa Kamati hiyo kwa kushirikiana na
wadau wengine, itafanya tathmini ya kubaini soko la Jasi ndani
na nje ya nchi ili kuelewa mahitaji yaliyopo na yatakayokuwepo
siku zijazo kwani matumizi ya madini ya Jasi yanaongezeka.
Hata hivyo Profesa Muhongo alitoa angalizo kuwa baadhi
ya changamoto zinatokana na Wachimbaji hao kutokuwa na
Umoja na kuwaasa waunde Umoja ambao ni maalum kwa
wachimbaji wote wa Jasi Tanzania.
Alisema kuwa Umoja huo utawasaida kuwa na kauli moja
wakati wa kusimamia maslahi yao jambo ambalo pia alisema
litakuwa ni suluhu kwa baadhi ya changamoto ikiwemo ya bei
na masoko.
Alisisitiza kuwa Umoja utakaoundwa uwe ni maalum kwa
Wachimbaji wote wa Madini ya Jasi kutoka Mikoa yote ambayo
madini husika yanachimbwa ili kuwa na maamuzi ya pamoja
hususan kwenye masuala ya bei, masoko na pia kubadilishana
uzoefu wa shughuli husika.
Ili mfaidi matunda ya uchimbaji wa Jasi ni vema
mkaachana na umimi, mfanye shughuli zenu kwa kushirikiana
na hili litawezekana mtakapounda Umoja wenu, alisema
Profesa Muhongo.
Na sisi tunazidi kuweka msisitizo kuwa, Kauli ya Profesa
Muhongo ya kuwa na Umoja wa Wachimbaji wa Jasi nchini ni
muhimu kwani changamoto zinazowakumba Wachimbaji hao
zitajadiliwa kwa umoja na kupatiwa suluhisho la pamoja badala
ya mtu mmoja mmoja au kikundi kimoja.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Kulia) akiwa katika


picha ya pamoja na Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira wa Zanzibar,
Salama Aboud Talib, mara baada ya mazungumzo kuhusu ushirikiano baina
ya Wizara hizo mbili hususan katika Sekta ya Nishati yaliyofanyika Ofisini
kwa Waziri Muhongo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Kulia), akifafanua


jambo kwa Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira wa Zanzibar, Salama
Aboud Talib, wakati wa mazungumzo yao kuhusu ushirikiano baina ya
Wizara hizo mbili hususan katika Sekta ya Nishati. Waziri Talib alimtembelea
Waziri Muhongo ofisini kwake jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.

KWA HABARI PIGA SIMU


kitengo cha mawasiliano

TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Desemba 22 - 28, 2016

WACHIMBAJI WA JASI NCHINI


WAMETAKIWA KUUNDA UMOJA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa kwanza


mbele) akikagua shughuli za uchimbaji madini ya Jasi katika mgodi
unaomilikiwa na kampuni ya Kwanza Kilwa Mining Products na
kushoto kwake ni Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Mwalimu Zuberi.

Na Mohamed Saif

achimbaji wa
madini ya Jasi kote
nchini wametakiwa
kuhakikisha
wanaunda Umoja
ili kuwa na uchimbaji wenye tija.
Wito huo umetolewa hivi karibuni
na Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo alipofanya
ziara katika machimbo ya madini ya
Jasi mkoani Lindi na kuzungumza na
wachimbaji wa Madini hayo mkoani
humo.
Alielezwa changamoto mbalimbali
zinazowakabili wachimbaji hao
ikiwemo ukosefu wa vifaa vya
uchimbaji madini, ubovu wa
miundombinu ya barabara hususan
kipindi cha masika ambapo zinakuwa
hazipitiki ikizingatiwa kuwa
machimbo husika yapo mbali na
barabara kuu, kutokuwa na taarifa
za kutosha za kijiolojia za maeneo
husika, soko la kusuasua pamoja na
malipo duni.
Akizungumza wakati wa ziara
hiyo, Mkurugenzi wa mgodi wa
Kwanza Kilwa Mining Products,
Mwalimu Zuberi alisema mgodi
wake unao uwezo wa kuzalisha
kiasi cha tani 15,000 kwa mwezi
lakini kutokana na mahitaji ya soko,
unazalisha tani 5,000.
Aliongeza kuwa, kwa upande wa
Tanzania soko limekuwa likisuasua
kwani wanunuzi wake walio wengi
ambao ni kampuni za saruji tayari
wanao mzigo wa kutosha na hivyo
hawahitaji mzigo mwingine kwa sasa.
Nimezitembelea Kampuni nyingi

za saruji ambazo tunaziuzia Jasi,


lakini kwa sasa karibu zote hazihitaji
mzigo mwingine hivyo tunazalisha
na kusogeza mzigo kandokando ya
barabara kuu ili kutakapokuwa na
mahitaji tunapeleka, alisema.
Mbali na hilo, Zuberi alisema suala
la malipo limekuwa na usumbufu.
Unapeleka mzigo leo lakini
inachukua hadi miezi minne ndiyo
unalipwa, alisema.
Zuberi alisema hivi sasa
Wachimbaji wa Madini ya Jasi
mkoani humo wanauza madini hayo
nje ya nchi ikiwemo Congo, Rwanda,
Malawi, Msumbiji na Zambia.
Waziri Muhongo aliwaeleza
wachimbaji hao kwamba baadhi
ya changamoto ni matokeo ya
wao kutokuwa na Umoja na hivyo
aliwaasa kuhakikisha wanaunda
Umoja ambao ni maalum kwa
wachimbaji wote wa Jasi Tanzania
ili kuwa na kauli moja wakati wa
kusimamia maslahi yao jambo
ambalo pia alisema litakuwa ni suluhu
kwa baadhi ya changamoto ikiwemo
ya bei na masoko.
Aliwaasa kuaminiana, kupendana
na kuepuka ubinafsi ili kuwa na
uchimbaji wenye tija. Ili mfaidi
matunda ya uchimbaji wa Jasi ni
vema mkaachana na umimi, mfanye
shughuli zenu kwa kushirikiana na hili
litawezekana mtakapounda Umoja
wenu, alisema.
Alisisitiza kuwa Umoja
utakaoundwa uwe ni maalum kwa
Wachimbaji wote wa Madini ya Jasi
kutoka Mikoa yote ambayo madini
husika yanachimbwa ili kuwa na
maamuzi ya pamoja hususan kwenye

masuala ya bei, masoko na pia


kubadilishana uzoefu wa shughuli
husika.
Kwa hapa nchini, si Lindi peke
yenu ndiyo mnachimba Jasi lakini
ipo mikoa mingine kama Singida na
Dodoma ambapo pia kuna madini
haya tena kwa wingi kuliko hapa;
hivyo ni vema mkashirikiana,
alisema.
Aidha, baada ya kutembelea
migodi mbalimbali ya madini hayo
mkoani Lindi, Waziri Muhongo
alisema kuwa amebaini kwamba
baadhi ya wachimbaji wanafanya
shughuli zao kwa kubahatisha bila
kuwa na taarifa sahihi za kijiolojia.
Aliuagiza Wakala wa Jiolojia
Tanzania (GST) kwa kushirikiana
na Shirika la Madini la Taifa
(STAMICO) kufika kwenye maeneo
husika na kufanya vipimo geological
mapping kuchambua wingi wa
madini yaliyopo kwenye migodi
husika na vilevile kufanya tathmini za
mara kwa mara za ubora wa madini

hayo.
Mbali na hilo, Profesa Muhongo
alisema Serikali kupitia Kamati
Maalum inayoshughulika na masuala
ya madini ya Jasi na Makaa ya Mawe
iliyo chini ya Uenyekiti wa Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati
na Madini, Profesa James Mdoe
itahakikisha inakuwa na mikakati
madhubuti ya kumaliza changamoto
zilizopo.
Vilevile alisema Kamati hiyo kwa
kushirikiana na wadau wengine,
itafanya tathmini ya kubaini soko
la Jasi ndani na nje ya nchi. Ni
muhimu tuelewe mahitaji yaliyopo na
yatakayokuwepo siku zijazo kwani
inaonyesha matumizi ya madini ya
Jasi yameongezeka na yanaendelea
kukua, alisema.
Profesa Muhongo alifanya ziara
kwenye machimbo hayo ili kujionea
shughuli za uchimbaji wa madini
ya Jasi mkoani humo pamoja na
kuzungumza na wachimbaji ili
kubaini changamoto zinazowakabili
kwa ajili ya ufumbuzi.
Waziri Muhongo anaendelea
na ziara yake ya siku 14 ya kukagua
shughuli za uchimbaji madini pamoja
na ukaguzi wa miradi mbalimbali ya
Nishati ya Umeme nchini.

Moja ya mgodi wa madini ya Jasi ambapo uchimbaji unaendelea kwa


kutegemea soko.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia)


akizungumza jambo wakati wa ziara ya ukaguzi wa shughuli za
uchimbaji madini ya Jasi Mkoani Lindi. Kulia kwake ni Mkurugenzi
Kwanza Kilwa Mining Products, Mwalimu Zuberi akifuatiwa na
Mwenyekiti wa Wachimbaji Mkoa wa Lindi, Peter Ludovick na Makamu
Mwenyekiti wa Wachimbaji Lindi, Faridu Shaweji.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

SMMRP YAENDELEA KUKARABATI NA KUJENGA


MIUNDOMBINU YA WACHIMBAJI WADOGO

Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala kutoka Shirika la Madini ya Taifa


(STAMICO) Deusdeth Majala (anayetoa maelezo) kuhusu eneo
litakapojengwa Jengo la Ofisi ya STAMICO, FEMATA pamoja na Chuo cha
Madini (MRI). Wengine katika picha ni Viongozi Waandamizi kutoka Wizara
ya Nishati.

Eneo la kiwanja kutakapojengwa Jengo la Ofisi ya STAMICO, FEMATA


na Ofisi za Walimu wa Chuo cha Madini Dodoma.
Msanifu wa Majengo kutoka Mradi wa SMMRP, Joseph Ringo (aliyenyoosha
mkono) akieleza kuhusu Mpango wa Mradi kujenga Jengo la Ofisi ya
STAMICO na FEMATA katika kiwanja cha STAMICO kilichopo mkoani
Dodoma. Wengine katika Picha ni Viongozi Waandamizi kutoka Wizara ya
Nishati na Madini na STAMICO.

Na Rhoda James- Dodoma

mafunzo kwa Wachimbaji Wadogo


(center for excellence).
Aidha, Mkurugenzi Msaidizi wa
izara ya Nishati
Utawala
kutoka Shirika la Madini ya
na Madini
Taifa
(STAMICO)
Deusdeth Majala,
kupitia Mradi wa
alisema
kuwa
Shirika
hilo lina viwanja
Usimamizi Endelevu
kadhaa
mkoani
Dodoma
kwa ajili
wa Rasilimali
ya
ujenzi
wa
ofisi
itakayotumiwa
Madini (SMMRP) inaendelea
na watumishi wa STAMICO na
kukarabati Miundombinu na kujenga
Chama cha Wachimbaji Wadogo wa
majengo mapya nchini ili kuwezesha
Madini (FEMATA) itakayojengwa na
kuhudumia Wadau mbalimbali
SMMRP.
katika Sekta ya Madini wakiwamo
Naye Kaimu Mkurugenzi wa Chuo
Wachimbaji Wadogo.
cha
Madini (MRI), Allen Piringa
Hayo yamesemwa na Msanifu wa
alisema
kuwa Chuo kinaishukuru
Majengo kutoka mradi wa SMMRP,
Wizara
kwa
kupitia SMMRP kwani
Joseph Ringo wakati alipotembelea
kwa
sasa
wanategemea
kuwa Mradi
viwanja vya Shirika la Madini la Taifa
huo
utawafadhili
katika
ujenzi wa Ofisi
(STAMICO) na Chuo cha Madini
za
Walimu
na
kuondokana
na Ofisi
cha Dodoma hivi karibuni mkoani
ndogo
ambayo
haikidhi
mahitaji
yao.
Dodoma.
Vilevile
Mkurugenzi
Msaidizi
wa
Ringo alisema kuwa, Mradi wa
Utawala
katika
Wizara
ya
Nishati
na
SMMRP hadi sasa umejenga na
Madini,
Joyceline
Lugora
alisema
kukarabati majengo mbalimbali
kuwa, Wizara ya Nishati na Madini
yanayotumika kwa shughuli za
itaendelea kutekeleza azma yake ya
Madini ikiwemo majengo ya mkoani
kuendelea kuboresha mazingira ya
Dodoma, bado Mradi huo una
Maofisa ili waweze kuhudumia wadau
mpango wa kujenga vituo 9 nchini
mbalimbali kwa ufanisi wakiwemo
ambavyo vitatumika kama vituo vya
Wachimbaji Madini.

Kaimu Mkurugenzi wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI), Allen Piringa


(mbele) akizungumza na Viongozi Waandamizi kutoka Wizara ya Nishati
na Madini, Wafanyakazi wa Chuo cha Madini (MRI) na wafanyakazi wa
Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST).

Msanifu wa Majengo kutoka mradi wa SMMRP, Joseph Ringo


(aliyesimama) akitoa maelezo ya Mradi wa SMMRP kwa Viongozi
Waandamizi wa Wizara, MRI na Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST).

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

TPDC yachangia Milioni


10 kujenga Ofisi ya Mtaa
Augustino Kasale -TPDC na
Daudi Manongi - Maelezo

hirika la Maendeleo ya Petroli


Tanzania Nchini (TPDC)
limeipatia shilingi Milioni 10
Serikali ya Mtaa wa Mji Mpya
iliyopo Pugu Majohe Wilaya
ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa ajili ya
ujenzi wa Ofisi ya mtaa huo.
Akizungumza katika hafla fupi ya
makabidhiano jijini Dar es Salaam,
Kaimu Mkurugenzi wa TPDC,

Mhandisi Kapuulya Musomba alisema


kuwa, wameamua kutoa fedha hizo
kutokana na wakazi wa eneo hilo
kuwa wadau muhimu wanaopitiwa na
Bomba la Gesi kutoka Mtwara hadi
Dar es Salaam.
TPDC hatuwezi kulinda bomba
hili la gesi kila mahali linapopita, wadau
hawa wamekuwa ni sehemu ya kulinda
bomba hili ambapo wanalinda pia
uchumi wa nchi kwa sababu gesi hii
pia inatumika kuzalisha umeme kwa
zaidi ya asilimia 50 nchini Alisema
Mhandisi Musomba.

Aidha, Mhandisi Musomba alitoa


wito kwa wananchi wa Pugu Majohe
kuacha kuchimba mchanga karibu na
Bomba hilo kwani kwa kufanya hivyo
watakuwa wanaharibu miundombinu
ya Bomba hilo.
Kwa upande wake, Kaimu Mkuu
wa Wilaya ya Ilala, Elizabeth Thomas
ameishukuru TPDC kwa kuwezesha
kupatikana kiasi hicho cha fedha kwani
kitawasaidia katika ujenzi wa Ofisi hiyo
na kurahisisha maendeleo ya Pugu
Majohe na kuwaomba kuendelea
kusaidia katika maeneo tofauti ya

Wilaya ya Ilala.
Naye, Mwenyekiti wa Serikali ya
Mtaa Mji Mpya-Majohe, Geofrey
Chacha alisema kuwa ni faraja sana
kupata msaada huo kutoka TPDC
kwani utaweza kusaidia kumalizia
ujenzi wa Ofisi yao.
Mchango huu umetupa nguvu
katika kuwahamasisha wananchi
katika eneo hili kuweza kuwa walinzi
wazuri wa miundombinu hii ambayo
inagusa maslahi ya Taifa letu alisema
Chacha.
TPDC kupitia Sera yake ya
Uwajibikaji kwa Jamii imekuwa
ikisadia Jamii katika nyanja mbalimbali
zikiwemo Maji, Afya, Elimu, Utawala
bora na Michezo.

Wakazi wa Mji Mpya - Pugu Majohe wakifurahia mara baada ya


kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni 10 kutoka TPDC kwa ajili ya
ujenzi wa Ofisi ya Serikali ya Mtaa.

Kaimu Mkurugenzi Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)


Mhandisi Kapuulya Musomba (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya
shilingi milioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa
Mji Mpya-Pugu Majohe, Jijini Dar es Salaam, katikati ni Kaimu Mkuu
wa Wilaya ya Ilala, Elizabeth Thomas.

Kaimu Mkurugenzi wa TPDC, Mhandisi Kapuulya Musomba


akizungumza na wakazi wa Mtaa wa Mji Mpya-Pugu Majohe kabla ya
kukabidhi hundi ya Shilingi milioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya
Serikali ya Mtaa huo.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

ZIARA YA WAZIRI MKOANI LINDI


Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
akiwasili katika mgodi
wa Jasi uliopo katika
kijiji cha Makangaga
wilayani Kilwa, mkoani
Lindi. Wa kwanza
kushoto ni Mwenyekiti
wa Wachimbaji
Mkoa wa Lindi, Peter
Ludovick.

Mkurugenzi wa mgodi wa Jasi wa Kwanza Kilwa Mining Products,


Mwalimu Zuberi (kushoto) akizungumza jambo. Kulia ni Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akimsikiliza wakati wa ziara yake
mgodini hapo.

Madini ya Jasi yakiwa yamelundikwa kandokando ya barabara kuu


yakisubiri soko.

Madini ya Jasi yakiwa yamerundikwa kandokando ya barabara kuu


yakisubiri soko. Takribani tani 26,000 zimerundikwa hapo kwa ajili ya
kurahisisha usafirishaji pindi soko linapopatikana.

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

BALOZI WA UJERUMANI AMTEMBELEA WAZIRI


MUHONGO NA KUFANYA MAZUNGUMZO
Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo
(Kulia) akiwa katika picha
ya pamoja na Balozi wa
Ujerumani hapa nchini,
Egon Kochanke baada ya
mazungumzo yao. Balozi
Kochanke alimtembelea
Waziri Muhongo hivi karibuni
Ofisini kwake jijini Dar es
Salaam na kuzungumzia
ushirikiano baina ya nchi hizo
mbili hususan katika Sekta ya
Nishati.

Waziri wa Nishati na Madini,


Profesa Sospeter Muhongo
(Kulia), akitazama kabrasha
alilopatiwa na Balozi wa
Ujerumani nchini Tanzania, Egon
Kochanke (katikati), linaloonesha
maeneo ya ushirikiano baina ya
nchi hizo mbili hususan katika
Sekta ya Nishati. Kushoto ni Ofisa
kutoka Ubalozi huo, Julia Hannig.
Balozi Kochanke alimtembelea
Waziri Muhongo hivi karibuni
ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Ujerumani hapa
nchini Egon Kochanke
(katikati) na Ofisa kutoka
Ubalozi huo, Julia Hannig
(kushoto), wakimsikiliza Waziri
wa Nishati na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo (kulia),
alipokuwa akifafanua jambo
wakati walipomtembelea
ofisini kwake jijini Dar es
Salaam hivi karibuni na
kufanya mazungumzo naye
kuhusu ushirikiano baina ya
nchi hizo mbili hususan katika
Sekta ya Nishati.

Kutoka kushoto ni Balozi wa Ujerumani hapa nchini Egon


Kochanke, Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
na Ofisa kutoka Ubalozini Julia Hannig, wakiwa katika picha ya
pamoja ofisini kwa Waziri Muhongo mara baada ya mazungumzo
ambayo yalifanyika ofisini hapo hivi karibuni kuhusu ushirikiano baina
ya nchi hizo mbili, hususan katika Sekta ya Nishati.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

10

TANCOAL yawatoa hofu Watanzania

Magari yakiendelea kushusha Makaa ya Mawe katika eneo la Kitai


mkoani Ruvuma baada ya kutoka Mgodini, kabla ya kupakiwa na
kupelekwa katika Viwanda vinavyotumia makaa ya mawe.

Na Zuena Msuya Songea,

ampuni ya
TANCOAL
inayochimba Makaa
ya Mawe katika
Mgodi wa Ngaka
mkoani Ruvuma, imewatoa hofu
watanzania na kusema kuwa
madini ya Makaa ya Mawe yaliyopo
yanatosheleza mahitaji ya Viwanda
nchini.
Akizungumza wakati wa ziara
ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara
wa Nishati anayeshughulikia
Madini, Prof. James Mdoe,
Mkurugenzi mkuu wa TANCOAL,
Mark MacAndrew alisema kuwa
wana kiasi kikubwa cha Madini ya
Makaa ya Mawe ambayo yanaweza

kuchimbwa kwa miaka mia mbili


kutoka sasa.
MacAndrew alisema kuwa
licha kuwepo kwa vitendea kazi vya
kuchimba madini hayo kwa sasa
wameagiza vifaa vingine pamoja na
magari ili kukidhi mahitaji ya soko la
viwanda.
Alifafanua kuwa tangu Serikali
ipige marufuku uagizaji wa makaa
ya mawe kutoka nje ya nchi kwa
sasa mahitaji ya Makaa ya Mawe
yameongezeka ambapo kwa sasa
huzalisha takribani tani 2000 kwa
siku na kupakia malori 75 tofauti
na ilivyokuwa hapo awali ambapo
walikuwa wakichimba kwa
kusuasua na kwa mahitaji maalum.
Kwa upande wake Meneja
wa Mgodi huo, David Kamenya

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya TANCOAL,


Mark McAndrew( katikati) akimfafanulia jambo Kaimu Kamishna wa
Madini, Mhandisi Ally Samaje( kulia) wakati wa ziara ya kutembelea
mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka mkoani Ruvuma.

alisema kwa sasa wanauza tani zaidi


ya 35000 za makaa ya mawe kwa
mwezi, tofauti na ilivyokuwa hapo
awali ambapo biashara hiyo ilikuwa
ya kusuasua kutokana na kampuni
kuagiza makaa hayo nje ya nchi.
Aidha alizitaka kampuni za ndani
kununua Makaa ya Mawe ya Ngaka
kwa kuwa yana ubora wa hali ya juu
kwani hata wakati mwingine huwaka
moto yenyewe pindi yanaporundikwa
na kupata joto kali.
Kuhusu ushirikishwaji wa
wananchi, kampuni hiyo inatarajia
kuanza mradi mkubwa wa usambazaji
wa maji na kufikia vijiji vyote
vinavyozunguka Mgodi huo.
Kwa upande wake Meneja kutoka
Shirika la Maendeleo la Taifa ( NDC),
Godwill Wanga alisema kuwa licha ya
kuwepo kwa changamoto ya barabara
katika usafirishaji wa Makaa ya Mawe
kutoka mgodini, Serikali ipo katika

hatua nzuri za kuanza kuboresha


miundombinu ya barabara pamoja na
madaraja ili kurahisisha utendaji kazi.
Aidha alifafanua kuwa katika
kurahisisha zaidi usafirishaji wa
Makaa ya Mawe Serikali inatarajia
kujenga Reli kutoka mkoani Mtwara
hadi Mbambabay mkoani Ruvuma
itakayofika hadi eneo la Makaa ya
Mawe la Ngaka ili kusafirishaji Makaa
mengi kwa wakati mmoja.
Shirika la Reli Tanzania (TRL)
limetenga zaidi ya shilingi Bilioni 7
kwa ajili ya Ujenzi wa Reli kutoka
mkoani Mtwara hadi Mbambabay
mkoani Ruvuma ambapo kwa sasa
linatafuta Mwekezaji, baada ya Kupata
washindani.
Mgodi wa Madini ya Makaa ya
Mawe wa Ngaka unamilikiwa na
Kampuni ya TANCOAL na Serikali
kupitia Shirika Maendeleo la Taifa (
NDC) .

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia


Madini, Prof. James Mdoe( pili kushoto) akiwa katika ziara ya
kutembelea Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka mkoani Ruvuma,
kulia ni Kaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi Ally Samaje.

Katapila likipakia Makaa ya Mawe katika mashine ya kuchakata mawe


yanayohitajika Viwandani, huku magari yakipakia kwenda katika kituo cha
Kitai ili kupelekwa viwandani kwa ajili ya matumizi.

11

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Desemba 22 - 28, 2016

12

Anda mungkin juga menyukai