Anda di halaman 1dari 20

HABARI

HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo
No.155
51
Toleo No.

Limesambazwa
kwa Taasisi
Idaranazote
MEM
Limesambazwa
kwana
Taasisi
Idara
zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015
Januari 20 - 26, 2017

Wabunge

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2

TANZANIA MWENYEJI

MKUTANO WA SHIRIKISHO NCHI


ZA AFRIKA KUHUSU UMEME
Yatoa msimamo kusaidia upatikanaji
umeme kwa nchi wanachama
Wizara yapongezwa kwa jitihada

Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA

Somahabari Uk.2

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (wa Nne kutoka Kushoto - mbele
waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na Wataalam Waandamizi wa Sekta ya Nishati kutoka Shirikisho la Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na
Kati Kuhusu Masuala ya Umeme (Eastern Africa Power Pool - EAPP), uliofanyika jijini Arusha, Alhamisi, Januari 19 mwaka huu.
Mkurugenzi MtendMkurugenzi Mkuu wa
Waziri wa Nishati
Naibu Waziri wa Nishati na
Naibu Waziri wa Nishati na
aji wa TANESCO,
REA, Dk. Lutengano
na Madini, Profesa
Madini, anayeshughulikia
Madini anayeshughulikia
Mhandisi Felchesmi
Mwakahesya
Sospeter Muhongo
UK
Madini Stephen Masele
Nishati, Charles Kitwanga
Mramba

Mgodi wa Buzwagi mbioni kufungwa

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4

>>4

Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali


kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
kwa
ajili ya News Bullettin
Jarida laGhorofa
Wizarya
a Tano
ya Nishati
au Fika hii
Ofisina
ya Mawasiliano
(MEM) na Madini
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

Januari 20 - 26, 2017

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA


SHIRIKISHO NCHI ZA AFRIKA KUHUSU UMEME
Na Veronica Simba Arusha

erikali ya Tanzania
imeeleza msimamo
wake wa kutoa
ushirikiano kikamilifu
katika ujenzi wa
miundombinu na njia kuu za
umeme zitakazounganisha
nchi za Afrika Mashariki na
Kati kwa lengo la kuwezesha
upatikanaji wa umeme wa
uhakika na wa bei nafuu kwa
wananchi wa nchi hizo.
Msimamo huo umetolewa
na Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia Nishati, Dkt.t.
Mhandisi Juliana Pallangyo,
wakati akifungua Mkutano
Mkuu wa 24 wa Wataalam
Waandamizi wa Sekta ya
Nishati kutoka Shirikisho la
Nchi za Ukanda wa Afrika
Mashariki na Kati Kuhusu
Masuala ya Umeme (Eastern
Africa Power Pool - EAPP),
uliofanyika jijini Arusha,
Alhamisi, Januari 19 mwaka
huu.
Katika Mkutano huo ambao
ni utangulizi wa Mkutano
Mkuu wa 12 wa Baraza la
Mawaziri kutoka nchi husika
utakaofanyika Ijumaa, Januari
20 mwaka huu, Arusha; Dkt.t.
Pallangyo akimwakilisha Naibu
Waziri wa Nishati na Madini,
Dkt. Medard Kalemani;
alisema kuwa, Serikali ya
Tanzania imedhamiria kutoa
ushirikiano wa dhati kujenga
miundombinu husika ya
umeme ukiwamo Mradi
mkubwa wa umeme wa kilovoti
400 utakaounganisha nchi za

Zambia, Tanzania na Kenya.


Ni matarajio ya Serikali
ya Tanzania kuwa, kukamilika
kwa miradi hii mikubwa,
kutawezesha uwepo wa
biashara ya umeme baina
ya Kundi la nchi za Ukanda
wa Afrika Mashariki na Kati
(Eastern Africa Power Pool
- EAPP) pamoja na zile za
Ukanda wa Kusini (Southern
Africa Power Pool - SAPP),
alisema Naibu Katibu Mkuu
Pallangyo.
Akizungumzia sababu
za kuwepo matarajio
makubwa ya kufanikiwa kwa
ushirikiano wa nchi hizo katika
kuwezesha upatikanaji wa
uhakika wa nishati ya umeme
kwa wananchi wake; Dkt.t.
Pallangyo alitaja uwepo wa
vyanzo mbalimbali vya umeme
vya uhakika vilivyopo katika
nchi husika kuwa kichocheo
kikuu cha mafanikio.
Hata hivyo, alisisitiza
kuwa, ili kufikia mafanikio
yanayotarajiwa kwa haraka,
wataalam waandamizi kutoka
nchi zote husika wanatakiwa
kufanya kazi kwa bidii na kwa
kushirikiana.
Akizungumza na waandishi
wa habari baada ya ufunguzi
wa Mkutano huo, Katibu
Mkuu wa EAPP na Mwakilishi
wa Tanzania; Mhandisi Lebbi
Changullah alisifu jitihada za
Serikali ya Tanzania kupitia
uongozi wa Wizara ya Nishati
na Madini katika kuhakikisha
kunafanyika mikakati
mbalimbali na ya makusudi
ili kuwezesha upatikanaji
wa umeme wa uhakika, wa
kutosha na wa bei nafuu kwa

Kutoka Kushoto ni Katibu Mkuu wa EAPP na Mwakilishi wa Tanzania; Mhandisi


Lebbi Changullah, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia Nishati; Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo na Mwenyekiti wa
Kamati ya Wataalam Waandamizi wa EAPP ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji
wa Shirika la Umeme la Ethiopia; Azeb Asnake, wakifurahia jambo wakati
wakielekea kwenye Ukumbi wa Mkutano.

wananchi.
Alitolea mfano mikakati ambayo
imekuwa ikifanywa na Waziri wa
Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo kwa kushirikiana na Viongozi
na watendaji wengine wa Wizara kuwa
ni pamoja na kuhakikisha Tanzania
inakuwa mwanachama wa mashirikisho
mbalimbali kama hilo la EAPP na hivyo
kunufaika na fursa zinazopatikana kwa
nchi wanachama.
Mpaka sasa nchi wanachama wa
Shirikisho la Nchi zinazoshirikiana katika
masuala ya Umeme (Eastern Africa
Power Pool - EAPP) ni Tanzania, Kenya,
Uganda, Rwanda, Burundi, Sudan,
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo,
Ethiopia, Djibout, Libya na Misri.
Malengo ya Shirikisho hilo ni
kushirikiana katika kuhakikisha
kunakuwepo na umeme wa kutosha, wa

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, anayeshughulikia


Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (Kulia) akijadiliana jambo na
Mkurugenzi Msaidizi wa Uwekezaji kutoka Shirika la Umeme Tanzania
(TANESCO), Mhandisi James Khalid wakati wa mapumziko, nje ya
Ukumbi wa Mkutano.

uhakika na wa bei nafuu kwa wananchi


wa nchi wanachama kupitia mikakati
mbalimbali ikiwemo kujenga njia kuu
za umeme zitakazounganisha nchi
wanachama na hivyo kuwezesha kuuziana
na kununua umeme kati ya nchi hizo
ambayo pamoja na mambo mengine
itasaidia nchi zenye vyanzo haba vya
umeme kunufaika kwa kununua umeme
kutoka nchi nyingine zenye umeme wa
kutosha.
Mkutano wa Wataalam Waandamizi
wa Umeme kutoka nchi wanachama,
umejadili mikakati mbalimbali inayopaswa
kutekelezwa na namna ya kuitekeleza ili
kufikia malengo ya Shirikisho. Mkutano
huo wa Wataalam utafuatiwa na Mkutano
wa Mawaziri wa Nishati kutoka nchi
wanachama utakaofanyika Januari 20,
mwaka huu.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, anayeshughulikia


Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo, akifungua Mkutano Mkuu wa
24 wa Wataalam Waandamizi wa Sekta ya Nishati kutoka Shirikisho
la Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Kuhusu Masuala ya
Umeme (Eastern Africa Power Pool - EAPP), uliofanyika jijini Arusha,
Alhamisi, Januari 19 mwaka huu.

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

Januari 20 - 26, 2017

Wananchi Ukerewe wapongeza


Serikali kwa kasi ya miradi ya umeme

TAHARIRI
Wachimbaji Madini
Sekta yenu kuheshimika
inawezekana
Hivi karibuni tumeshuhudia Mafunzo kwa Wachimbaji
Madini Wadogo yaliyofanyika Mpanda, Mkoani Katavi ya
kuwajengea uwezo wachimbaji wadogo ili wafanye shughuli
za uchimbaji zenye tija kwao na Taifa kwa ujumla.
Mafunzo hayo maalum ya siku moja kwa Wachimbaji
Madini Wadogo kutoka maeneo mbalimbali nchini
yalifunguliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja
Jenerali Mstaafu Rafael Muhuga ambaye alikuwa mgeni
rasmi.
Akizungumza katika mafunzo hayo, Muhuga aliwaasa
kuendelea kuifanya Sekta hiyo ya Uchimbaji madini kuwa ya
heshima zaidi tofauti na miaka ya nyuma ambapo ilionekana
kuwa ni sehemu ya watu waliokata tamaa.
Hivi sasa kupitia sekta hii mafanikio yameanza
kuonekana, kwani baadhi ya wachimbaji wamewekeza
kwenye miradi mingine isiyohamishika. Nawapongeza sana
wale wote walioonyesha juhudi hizo, alisema Meja Jenerali
Mstaafu, Muhuga.
Alisema Serikali inatambua mchango wa Sekta ya Madini
na kwamba mikakati ya makusudi inaendelea kufanyika ya
kuhakikisha sekta husika inaleta matunda yaliyokusudiwa.
Aliongeza kuwa, juhudi za Serikali kuunga mkono
shughuli za uchimbaji zinaonekana wazi na kuzitaja baadhi
kuwa ni pamoja na uanzishwaji wa vituo vya mfano
vitakavyotoa mafunzo ya teknolojia mbadala wa matumizi
ya zebaki kwa wachimbaji wadogo wa madini na kuboresha
na kurahisisha utoaji wa leseni ndogo za madini ambapo hivi
sasa zinatolewa mikoani badala ya Dar es salaam pekee.
Mbali na hilo, aliwataka wachimbaji kufuata taratibu za
hifadhi ya mazingira na kuwataka wale wanaochoma misitu
na kuharibu vyanzo vya maji kwa kisingizio cha kutafuta
madini kuacha tabia hizo mara moja.
Vilevile, katika mafunzo hayo, wachimbaji madini kote
nchini wametakiwa kufanya shughuli zao kwa kufuata
sheria, taratibu na kanuni za uchimbaji na kuweka takwimu
katika shughuli zao ili kuzifanya kuwa rasmi na serikali iweze
kuwatambua.
Ni matumaini yetu kwamba mafunzo yaliyotolewa na
wataalamu wa madini pamoja na rai iliyotolewa na Mkuu
huyo wa Mkoa na viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya madini,
Profesa James Mdoe kwa wachimbaji madini kote nchini
imeeleweka.
Kufuatia mafunzo hayo, hatutarajii kuona wachimbaji
madini wakifanya shughuli zao kiholela badala yake
matarajio yetu ni kuona mabadiliko chanya kwenye shughuli
za uchimbaji madini kote nchini kama ilivyoelekezwa kwenye
mafunzo hayo.
Tunaendelea kuwaasa wachimbaji wa madini kote nchini,
hususan wachimbaji wadogo kuzingatia matakwa ya sheria
na kuepuka uchimbaji holela bila utaratibu ambao si tu
husababisha uharibifu wa mazingira lakini pia hupunguza
mapato yao.

Na Greyson Mwase, Ukerewe

ananchi wa wilaya
ya Ukerewe
wameipongeza serikali
kwa kasi ya miradi ya
umeme katika wilaya
hiyo, na kuongeza kuwa kukamilika
kwa miradi hiyo kutachochea ukuaji wa
shughuli za kiuchumi hususan za uvuvi.
Waliyasema hayo katika nyakati
tofauti hivi karibuni katika ziara ya
Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu
kutoka Wizara ya Nishati na Madini,
Mhandisi Styden Rwebangila pamoja
na wataalam kutoka Idara ya Nishati,
Wizara ya Nishati na Madini yenye
lengo la kujionea hatua iliyofikiwa ya
maendeleo ya miradi hiyo inayotekelezwa
na kampuni ya Rex Energy
Akizungumza kwa niaba ya wenzake
Katibu wa Kitongoji cha Ghana/Siza
wilayani Ukerewe, Frank Matondane
alisema kuwa kitongoji hicho hakikuwa
na ndoto ya kupata umeme tangu
kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika
lakini matumaini yamepatikana baada
ya kuanza kwa utekelezaji wa miradi
ya umeme katika kitongoji hicho kupitia

Mfumo wa kuongozea mitambo na


vifaa vya kuzalisha umeme katika
kituo cha kuzalisha umeme cha
kampuni ya Jumeme Rural Power
Supply

kampuni ya Rex Energy.


Alisema mara baada ya wananchi
kuhamasishwa na wataalam kutoka
kampuni ya Rex Energy na kuona zoezi
la ujenzi wa miundombinu ya umeme,
walitoa ushirikiano ikiwa ni pamoja
na kutodai fidia hali iliyorahisisha
utekelezaji wa mradi huo.
Matondane alisema kuwa mahitaji ya
umeme katika kitongoji cha Ghana/Siza
chenye wakazi wanaokadiriwa kuwa kati
ya 2,500 hadi 5,000 ni makubwa husuan
wavuvi wanaohitaji umeme kwa ajili ya
kuhifadhia samaki.
Aliongeza kuwa shule pamoja na
maduka ya madawa baridi yanahitaji
umeme na kusisitiza kuwa mara baada
ya kukamilika kwa mradi huo, uchumi
katika kisiwa hicho utakua kwa kasi
kutokana na fursa zilizopo na kuvutia
wawekezaji kwenye ujenzi wa kiwanda
cha kusindika nyama na samaki.
Naye mmoja wa wakazi wa kitongoji
hicho, Emanuel Mfungo alisema kuwa
wakazi wa kitongoji hicho wameshaanza
kuweka mifumo ya umeme kwenye
nyumba zao kwa ajili ya kujiandaa na
huduma ya kuunganishwa na huduma
ya umeme.
Alisema kuwa kutokana na kutambua
umuhimu wa umeme, wananchi wa
kitongoji hicho weamekuwa ni walinzi
wa miundombinu ya umeme ili
kutohujumiwa na watu wasiotakia mema
kitongoji hicho.
Wakati huo huo Mkurugenzi
Mtendaji kutoka kampuni ya Rex
Energy, Francis Kibhisa akielezea
hatua iliyofikiwa ya mradi huo, alisema
kuwa kazi ya ujenzi wa miundombinu
imeshakamilika katika kituo chote na
kusisitiza kuwa kampuni inatarajia
kufunga mtambo wa kuzalisha umeme
kwa jua wenye uwezo wa Kilowati
350 ambapo utaongezwa uwezo wake
kutokana na mahitaji ya umeme katika
kitongoji hicho.
>> INAENDELEA UK.5

KWA HABARI PIGA SIMU


kitengo cha mawasiliano

TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
Mgodi wa Buzwagi mbioni kufungwa
http://www.mem.go.tz

Januari 20 - 26, 2017

Na Rhoda James Kahama

amati ya Kudumu
ya Bunge ya Nishati
na Madini imeutaka
Uongozi wa Mgodi wa
Buzwagi kuwashirikisha
wananchi pamoja na Wafanyakazi
wa Mgodi huo kuhusu Mpango wa
kuufunga Mgodi huo (Mining Closure
plan) unaotarajia kufunga shughuli
zake za uzalishaji wa Dhahabu ifikapo
Desemba 2017, huku shughuli za
uchenjuaji zikiendelea kwa kipindi cha
miaka miwili.
Hayo yameagizwa na Mwenyekiti

wa Kamati ya Kudumu ya Nishati na


Madini, Doto Biteko wakati wa ziara
ya Kamati hiyo ya ukaguzi wa migodi
ya Buzwagi na Biharamulo mkoani
Shinyanga hivi karibuni.
Biteko alisema kuwa wananchi na
wafanyakazi lazima wawe sehemu
ya ufungaji wa Mgodi huo kwa kuwa
jambo hilo ni kubwa kwani litatikisa
Uchumi wa wananchi wa Kahama
ikiwemo Halmashauri ya Kahama
kukosa Ushuru wa Huduma ambao
Mgodi huo umekuwa ukilipa kila
mwaka.
Mgodi huo unalipa Ushuru wa
Huduma kwa Halmashauri ya Wilaya

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Nishati na Madini, Doto Mashaka


Biteko (wa pili kushoto) akimsikiliza Meneja wa Mgodi wa Buzwagi,
Assa Mwaipopo (hayupo pichani) akielezea shughuli za uzalishaji wa
Dhahabu katika Mgodi huo. Kushoto kwake ni Kaimu Kamishna wa
Madini, Mhandisi Ally Samaje na wengine ni wajumbe wa Kamati ya
Bunge ya Kudumu ya Nishati na Madini, Watumishi kutoka Wizara ya
Nishati na Madini na Wafanyakazi wa Mgodi huo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin


Ntalikwa (katikati) akijadiliana jambo na Kaimu Kamishna wa Madini,
Mhandisi Ally Samaje na Mbunge wa Kahama Jumanne Kishimba
walipotembelea mgodi wa Buzwagi.

Muonekano wa Mgodi wa Buzwagi

ya Kahama. Wafanyakazi katika


mgodi huo wana ajira kwa hiyo
mpango ya kufunga mgodi huo ni
muhimu wananchi washirikishwe kwa
asilimia mia, alisisitiza Biteko.
Pia, alitaka kupata ufafanuzi zaidi
kutoka kwa Uongozi wa Mgodi huo
kwa nini Mgodi umefikia hatua ya
kufungwa. Vilevile, alitaka Uongozi
kuijulisha Kamati hiyo jambo gani
ambalo Mgodi huo unawaachia
wananchi wa Kahama.
Akijibu hoja hizo Meneja wa
Mgodi wa Buzwagi, Assa Mwaipopo
alisema kuwa Serikali na wananchi
wamekuwa wakishirikishwa
kikamilifu katika shughuli mbalimbali
za mgodi huo ikiwemo kufanya vikao.
Kuhusu nini kifanyike baada ya
kufunga mgodi alieleza kuwa, Mgodi
na Serikali wanasubiri maoni ya
wananchi kuhusu shughuli sahihi za
kufanyika katika eneo hilo la mgodi
mara tu utakapomaliza shughuli zake.
Mwaipopo alifafanua kuwa
ingawa Mgodi umekuwa ukipata faida
kutokana na shughuli za uchimbaji
dhahabu bado haujarudisha gharama
za awali ambazo zilitumika wakati wa
uwekezaji huo.
Aidha, Mjumbe wa Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Nishati na
Madini alitaka kujua kwa nini kuna
malalamiko mengi kutoka kwa
wafanyakazi kama vile kutokujua

mwaajiri wao kwa kuwa mikataba


yao inaonesha ni kati yao na Pangea
Mining Gold, vitambulisho vyao
vinatoka African Barrick Gold Mine
na malipo yao yanaonesha yanalipwa
na Acacia Mining Gold.
Mwaipopo alisema kuwa mmiliki
wa Mgodi huo ni Pangea na ndiye
anayewajibika na ndio mwaajiri wao.
Aidha, Kamati iliitaka Wizara
kutoa ufafanuzi kwanini Mgodi wa
Buzwagi unaendelea kubadili majina
kama vile Pangea, African Gold Mine
na Acacia Gold Mine.
Akitoa ufafanuzi wa suala hilo,
Kaimu Kamishna wa Madini
Mhandisi Ally Samaje alisema kuwa,
mgodi unapobadili jina au anuani
haina madhara il ila tu inapobadili
umiliki wake lazima mchakato wote
ushirikishe serikali na upate ridhaa
ya serikali kwa kuwa kuna ulipaji wa
Kodi na Mapato mbalimbali kwa
serikali.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu
wa Wizara ya Nishati na Madini,
Profesa Justin Ntalikwa aliishukuru
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya
Nishati na Madini na Mgodi wa
Buzwagi kwa ushirikiano wao kwa
Wizara na kuwapongeza Wabunge
kwa kufanya kazi zao kwa kwa weledi
ili wananchi wa Tanzania waendelee
kunufaika na rasilimali hizo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa


(wa pili kushoto) akimsikiliza Kaimu Kamishna wa Madini Mhandisi
Ally Samaje. Wengine katika picha ni Kamati ya Kudumu ya Bunge ya
Nishati na Madini pamoja na Wafanyakazi wa Mgodi wa Buzwagi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Nishati na Madini, Doto


Mashaka Biteko (wa pili kulia) akiwa na wajumbe wa kamati ya na
Viongozi Waandamizi kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Mgodi
wa Buzwagi mara tu baada ya kuwasili katika Mgodi huo.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

ZIARA YA KAMISHNA MSAIDIZI NISHATI, JADIDIFU


MRADI WA UMEME JUA BWISYA, UKEREWE
Kaimu Kamishna
Msaidizi- Nishati
Jadidifu kutoka Wizara
ya Nishati na Madini,
Mhandisi Styden
Rwebangila (katikati
mbele) akiwa katika
picha ya pamoja na
wataalam kutoka Idara
ya Nishati, Wizara
ya Nishati na Madini
na watendaji kutoka
kampuni ya Jumeme
Rural Power Supply.

Sehemu ya kituo cha kuzalisha umeme cha kampuni ya Jumeme Rural


Power Supply kilichopo Ukara wilayani Ukerewe, Mwanza.

Mtaalam kutoka kampuni ya Jumeme Rural Power Supply, Mhandisi


Egberth Bashuweka (kulia) akifafanua jambo kwa Kaimu Kamishna
Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi
Styden Rwebangila (kushoto)

Kaimu Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati


na Madini, Mhandisi Styden Rwebangila (kushoto mbele) akibadilishana
mawazo na wataalam kutoka Idara ya Nishati, Wizara ya Nishati
na Madini kwenye ziara ya kuelekea katika kisiwa cha Ukara
wilayani Ukerewe, Mwanza kwa ajili ya kukagua miradi ya umeme jua
inayotekelezwa na kampuni ya Jumeme Rural Power Supply.

Meneja Mkuu wa kampuni ya Jumeme Rural Power Supply, Sitta Ngissa


(katikati) akielezea hali ya uzalishaji umeme kwa kutumia nishati ya jua
katika kituo hicho, Kushoto ni David Mwakigonja kutoka Wizara ya Nishati
na Madini.

Mtaalam kutoka kampuni ya Jumeme Rural Power Supply, Mhandisi


Egberth Bashuweka (kushoto) akieleza jambo katika chumba cha betri
kwa ajili ya kuhifadhi umeme kwa Kaimu Kamishna Msaidizi- Nishati
Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Styden Rwebangila
(kulia)

Mtaalam kutoka kampuni ya Jumeme Rural Power Supply, Mhandisi


Egberth Bashuweka (kulia) akielezea kazi ya mita za umeme jua kwa
Kaimu Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na
Madini, Mhandisi Styden Rwebangila (kushoto)

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mkuranga, Rufiji na Kibiti kuunganishwa Gridi ya Taifa


Na Zuena Msuya, Pwani

ilaya za Mkuranga,
Rufiji pamoja
na Kibiti
mkoani Pwani
zitaunganishwa
katika Gridi ya Taifa wakati wa
kuanza kwa Awamu ya Tatu ya
utekelezaji wa Mradi Umeme Vijijini
unaotekelezwa na Wakala wa Nishati
Vijijini (REA) kwa kushirikiana
na Shirika la Umeme Tanzania
(TANESCO).
Hayo yalisema na Naibu Waziri
wa Nishati na Madini, Dkt.t. Medard
Kalemani wakati wa ziara yake ya
siku moja ya kukagua maendeleo ya
utekelezaji wa Mradi wa Umeme
Vijijini (REA II) katika Wilaya hizo
pamoja na kuzungumza na wananchi.
Dkt.t. Kalemani alisema kuwa
Wilaya hizo zikaungwanishwa katika
Gridi ya Taifa ili waweze kupata
umeme mwingi, wa kutosha na wa
uhakika ili kuongeza kasi na ufanisi
katika shughuli za maendeleo kwa
wananchi.
Alisema kuwa wakati wa
kutekeleza Awamu ya Tatu ya Mradi
(REA III), TANESCO itajenga kituo
kikubwa cha kupokea na kupooza
umeme katika Wilaya ya Mkuranga
ili kusambaza umeme kwenye wilaya
hizo.
Umeme unaopatikana hapa
Mkuranga, Kibiti na Rufiji kwa sasa
hautoshelezi mahitaji ya watumiaji,
ni mdogo sana na unakatika mara
kwa mara, kwa kuwa shughuli za
kiuchumi zimeongezeka, sasa suluhu
ya tatizo hili ni kuunganisha Wilaya
hizi katika Gridi ya Taifa mara baada
ya mradi wa REA Awamu ya Tatu
kuanza, alisema Dkt.t. Kalemani.
Aidha aliwaeleza wananchi
kuwa huduma ya umeme kwa sasa
ni ya lazima kwa kila mwananchi
ili kuharakisha maendeleo, na
aliongeza kuwa ni vyema kila
mmoja ajiunganishe na huduma
hiyo kupitia Mradi wa REA ambao
hupatikana kwa bei nafuu na Serikali
imeugharamia kwa asilimia mia moja
kwa ajili wananchi wa vijijini.

Katika hatua nyingine, aliwaagiza


wakandarasi wote wanaotekeleza
Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya
Pili, katika Mkoa wa Pwani, kuwasha
umeme katika vijiji vyote ambavyo
vimepitiwa na kufikiwa na mradi
ifikapo mwishoni mwa mwezi huu wa
Januari kabla ya kuanza kwa Awamu
ya Tatu ya Mradi.
Mwishoni mwa mwezi
huu nataka kuona vijiji vyote
vilivyounganishwa na REA
vinawashwa umeme, nawaagiza
wakandarasi wote kutekeleza agizo
hilo, Meneja TANESCO fuatiliwa na
hakikisha jambo hili linatekelezwa
kwa wakati, bila kufanya hivyo
mtakuwa mmejifukuzisha kazi
wenyewe, kwa kuwa hakuna sababu
ya kutotekeleza agizo hili, alisisitiza
Dkt.t. Kalemani.
Sambamba na hilo aliiagiza
TANESCO, kusogeza huduma
zao karibu na wateja kwa kuweka
madawati ama kujenga vituo vidogo
vya huduma kwa wateja katika kila
kijiji kwa lengo la kuwafikia wananchi
kwa urahisi badala ya wananchi
kuwafuata maeneo ya mbali ziliko
ofisi za TANESCO.
Aidha, katika ziara hiyo,
aliwaeleza wananchi kuwa Serikali
kupitia TANESCO, imetenga zaidi
ya shilingi Bilioni 68.5 kwa ajili ya
malipo ya fidia, fidia hiyo ni kwa
wananchi 2913 waliopisha Mradi wa
msongo mkubwa wa umeme kutoka
Somanga hadi Kinyerezi katika vijiji
vilivyopitiwa na mradi huo.
Vilevile alibainisha kuwa fidia
hiyo italipwa kwa ratiba maaalum ili
kuondoa usumbufu kwa wananchi,
ambapo mpaka sasa zaidi ya shilingi
Bilioni 42, zimelipwa kwa wananchi
923, huku zoezi la ulipaji likiendelea
kwa mujibu wa ratiba na linatarajiwa
kukamilika mwishoni mwa mwezi
Februari mwaka huu.
Awamu ya Tatu ya utekelezaji
wa Mradi wa Umeme Vijijini
unaotekelezwa na REA kwa
kushirikiana na TANESCO unatarajia
kuanza mwishoni mwa mwezi
huu (Januari) na utatekelezwa kwa
takribani kipindi cha miaka minne.

Mbunge wa Jimbo la Rufiji, Mohamed Mchengerwa, akizungumza na


wakazi wa Rufiji (hawapo pichani) wakati wa ziara ya Naibu Waziri
wa Nishati na Madini, Dkt.t Medard Kalemani ya kukagua miradi ya
umeme vijijini wilayani Rufiji.

Baadhi ya Wakazi wa Rufiji wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati na


Madini Dkt.t. Medard Kalemani (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza
wakati wa ziara ya kukagua Mradi wa Umeme Vijijini unaotekelezwa na
Wakala wa Nishati Vijiji (REA) katika Wilaya hiyo.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt.t. Medard Kalemani,


(aliyesimama), akizungumza na Wakazi wa Rufiji wakati wa ziara ya
kukagua Mradi wa Umeme Vijijini unaotekelezwa na Wakala wa Nishati
Vijijini (REA) katika wilaya hiyo.

Mbunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega, (kulia) akimueleza jambo


Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.t Medard Kalemani (kushoto)
wakati wa ziara ya kukagua miradi ya umeme vijijini wilayani Mkuranga
katika kijiji cha Njopeka.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt.t. Medard Kalemani, (jukwaani


kushoto) na mbunge wa Kibiti, Ally Ungando (kulia) akizungumza na
Wakazi wa Kijiji cha Jaribu Mpakani wilayani Kibiti, mkoani Pwani wakati
wa ziara yake ya kukagua Mradi wa Umeme Vijijini unaotekelezwa na
Wakala wa Nishati Vijiji (REA) katika wilaya hiyo.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

Kamati ya PAC yaridhishwa na Miradi ya REA


Na Zuena Msuya, Iringa

amati ya Kudumu
ya Bunge ya Hesabu
za Serikali (PAC)
imeridhishwa na
utekelezaji wa Miradi
ya Umeme Vijijini, inayotekelezwa
na Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
katika Awamu ya kwanza na ya Pili.
Mwenyekiti wa PAC, Livingstone
Lusinde alisema hayo mkoani
Iringa wakati wa ziara ya kukagua
utekelezaji wa mradi wa REA,
katika vijiji na Taasisi mbalimbali
zilizopitiwa na Miradi hiyo ili kuona
thamani halisi ya matumizi ya fedha

za Serikali katika miradi hiyo.


Lusinde alifafanua kuwa
wameridhishwa na utekelezaji
wa miradi hiyo baada ya kuona
miundombinu iliyotumika na
maendeleo ya wananchi katika
maeneo yaliyopitiwa na miradi hiyo.
Tumepita katika vijiji mbalimbali
hapa Iringa ambavyo vimepitiwa na
REA, tumeona namna ambavyo
miradi hiyo imetekelezwa na
tumeona miundombinu iliyotumika;
hatuna budi kusema wazi kuwa
tumeridhishwa na utekelezaji wa
miradi hii, alisema Lusinde.
Aidha, Lusinde aliwasisitiza
wakandarasi wanaotekeleza Mradi

wa Umeme Vijijini, kutumia


miundombinu imara inayokwenda
sambamba na thamani halisi ya
matumizi ya fedha za Serikali katika
kutekeleza miradi hiyo ili kutimiza
malengo yaliyokusudiwa na kuondoa
hasara za makusudi zinazoweza
kujitokeza.
Vilevile aliwataka wakandarasi
hao kukamilisha zoezi la
kuwaunganisha na huduma ya
umeme wananchi na Taasisi
zilizoomba huduma hiyo katika
maeneo machache yaliyosalia ili
kila mwananchi aliyeomba huduma
hiyo aweze kuipata kwa wakati na
kuitumia.
Kwa upande wake Naibu Waziri
wa Nishati na Madini Dkt.t. Medard
Kalemani alisema kuwa Awamu
ya Tatu ya utekelezaji wa Mradi
wa Umeme Vijijini utashirikisha
Viongozi wa Serikali za mitaa,
Madiwani, Wabunge, Wakuu wa
Wilaya na Wakuu wa Mikoa.
Alifafanua kuwa lengo la kufanya
hivyo ni kutoa fursa kwa wananchi
kutoa vipaumbele vya maeneo

wanayotaka kufikiwa kwa huduma ya


umeme kwa wakati na kuvifikia vijiji
vyote nchini.
Mradi wa REA Awamu ya Tatu
utakuwa shirikishi, kwakuwa kabla
ya mkandarasi kuanza kazi yake,
atatakiwa kuwasiliana na Viongozi
wa Serikali ya mitaa, Madiwani,
Wabunge, Wakuu wa Wilaya na
Wakuu wa Mikoa ili wao watoe
vipaumbe kwa maeneo wanayotaka
kufikiwa na mradi huo, alifafanua
Dkt.t. Kalemani.
Dkt.t. Kalemani alibainisha
kuwa utaratibu huo utawezesha
kuviunganisha vijiji vyote nchini na
huduma ya umeme ili kutimiza azma
ya Serikali ya kufikia uchumi wa Kati
ifikapo mwaka 2025.
Kamati ya Kudumu ya Hesabu za
Serikali (PAC) inafanya ziara ya wiki
moja ili kukagua Miradi ya Umeme
Vijijini inayotekelezwa na Wakala
wa Nishati Vijijini (REA) kwa
kushirikiana na Shirika la Umeme
Nchini (TANESCO) kwa lengo la
kuona thamani halisi ya matumizi ya
fedha ya Serikali katika miradi hiyo.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.t. Medard Kalemani, (kushoto)


akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kulia)
mara baada ya kuwasili mkoani hapo kwa ziara ya kukagua
utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini katika Mkoa huo.

Wajumbe wa Kamati ya PAC, wakisikiliza taarifa ya Mkoa wa Iringa,


kabla ya kuanza ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya Umeme
vijijini mkoani Iringa.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.t. Merard Kalemani, (kulia)


akisamilia na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu
za Serikali (PAC), Livingstone Lusinde (kulia) walipowalisi mkoani
Iringa, kwa ziara ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini
mkoani humo.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.t. Medard Kalemani, (kushoto)


na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za
Serikali (PAC), Livingstone Lusinde (kulia) wasikiliza hoja za
Wajumbe wa Kamati ya PAC, (hawapo pichani) kabla ya kuanza
ziara ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini mkoani
Iringa.

Wajumbe wa Kamati ya PAC, wakikagua Miradi ya Umeme Vijijini


katika kijiji cha Nyamahana mkoani Iringa.

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
Wachimbaji Madini Wadogo watakiwa
kuifanya sekta hiyo kuwa ya Heshima
http://www.mem.go.tz

Januari 20 - 26, 2017

Asteria Muhozya na
Teresia Mhagama, Mpanda

achimbaji Madini
Wadogo nchini,
wametakiwa
kuendelea kuifanya
Sekta hiyo ya
Uchimbaji madini kuwa ya heshima
zaidi tofauti na miaka ya nyuma
ambapo ilionekana kuwa ni sehemu ya
watu waliokata tamaa.
Hayo yamesemwa mjini Mpanda
na Mkuu wa Mkoa wa Katavi,
Meja Jenerali Mstaafu Rafael
Muhuga wakati wa ufunguzi wa
Mafunzo kwa Wachimbaji Madini
Wadogo watakaonufaika na ambao
hawatanufaika na Ruzuku ya Awamu
ya Tatu, ikiwa ni maandalizi ya
kuwajengea uwezo ili ruzuku hizo
ziweze kutumika kama ilivyokusudiwa
kabla ya kukabidhiwa rasmi.
Hivi sasa kupitia sekta hii
mafanikio yameanza kuonekana,
kwani baadhi ya wachimbaji
wamewekeza kwenye miradi mingine
isiyohamishika. Nawapongeza sana
wale wote walioonyesha juhudi
hizo, alisema Meja Jenerali Mstaafu,
Muhuga.
Meja Jenerali Mstaafu, Muhuga
aliongeza kuwa, Serikali itaendelea
kutenga kiasi cha fedha kwa ajili ya
ruzuku itakayowawezesha wachimbaji
hao kununua vifaa vitakavyosaidia
kwenye shughuli za uchimbaji na
kueleza kuwa, imedhamiria kuendelea
kufanyia kazi changamoto mbalimbali
zinazoikabili sekta ndogo ya madini
nchini.
Alisema kuwa, juhudi za Serikali
kuunga mkono shughuli za uchimbaji
zinaonekana wazi na kuzitaja baadhi
kuwa ni pamoja na kutoa ruzuku
inayowezesha kupatikana kwa vifaa
vya kisasa vya uchimbaji na uchenjuaji
madini, uanzishwaji wa vituo vya
mfano vitakavyotoa mafunzo ya
teknlojia mbadala wa matumizi ya
zebaki kwa wachimbaji wadogo wa
madini na kuboresha na kurahisisha
utoaji wa leseni ndogo za madini
ambapo hivi sasa zinatolewa mikoani
badala ya Dar es salaam pekee.
Pia, aliwataka wachimbaji kufuata
taratibu za hifadhi ya mazingira na
kuwataka wale wanaochoma misitu
na kuharibu vyanzo vya maji kwa
kisingizio cha kutafuta madini kuacha
tabia hizo mara moja.
Awali, akizungumzia Ruzuku
ya Awamu ya Tatu, Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Nishati na
Madini anayeshughulikia Madini,
Profesa James Mdoe alisema kuwa,

katika Awamu mbili zilizopita


Serikali imeona baadhi ya wanufaika
wa ruzuku hizo wakifanya vizuri
katika shughuli zao za uchimbaji na
hata takwimu za uzalishaji madini
zimeanza kuongezeka.
Aliongeza kuwa, katika Awamu
mbili zilizopita, zipo kasoro chache
ambazo Serikali ilizibaini hivyo
Awamu ya Tatu itatumika kuboresha
kasoro hizo na kuongeza kuwa, katika
awamu ya tatu sehemu kubwa ya fedha
zitatumika katika kununulia vifaa
ambavyo wazabuni watavisafirisha
hadi katika eneo la kazi na kuwapa
mafunzo wanufaika ya namna ya
kuvitumia na pia mzabuni atatakiwa
kutoa uhakikisho wa vifaa hivyo.
Fedha zitapita Benki ya
Maendeleo ya TIB , lakini wizara
ya Nishati na Madini itasimamia
mchakato wote, hadi vifaa kufikishwa
eneo la kazi na mnufaika kukabidhiwa.
Vikundi vitakavyopaa ruzuku hii
tutavisimamia kuhakikisha kinakuwa
na katiba za vikundi vyao na uongozi
imara, amesisitiza Prof. Mdoe.
Pia, Prof. Mdoe aliwataka
wachimbaji kote nchini kufanya
shughuli zao kwa kufuata sheria,
taratibu na kanuni za uchimbaji huku
akisisitiza suala la kuweka takwimu
katika shughuli zao ili kuzifanya kuwa
rasmi na serikali iweze kuwatambua.
Serikali inawategemea msaidie
kupanua wigo wa ajira, lakini kama
mtafanya shughuli zenu kiholela, hilo
halitafikiwa,liongeza Prof. Mdoe.
Kwa upande wake Mtendaji
Mkuu wa Shirikisho la Vyama
vya Wachimbaji Madini Tanzania
(FEMATA), Haroun Kinega,
aliishukuru Serikali kwa utoaji
ruzuku na mafunzo kwa wanufaika
hao na kueleza kuwa, yanasaidia
kubadili mitizamo, kuongeza fursa
na kuwafungua macho wachimbaji ili
kufanya uchimbaji wa kisasa na wenye
faida kwa jamii na Taifa.
Aidha, alitumia fursa hiyo
kuwataka wachimbaji wa madini
nchini kufuata taratibu za uchimbaji
bora huku akisisitiza suala la kujiunga
katika vikundi ikiwemo kusajili
shughuli zao ili ziweze kuwanufaisha
zaidi na hatimaye kuwawezesha
kutoka katika uchimbaji mdogo
kwenda uchimbaji wa Kati.
Serikali imefanya kwa upande
wake, hatuna budi kutumia nafasi
hii kuweza kuleta matokeo chanya
katika shughuli zetu. Wenye leseni za
uchimbaji jiungeni katika vyama kwa
kuwa hii itatusaidia katika kuelekea
mabadiliko tunayoyataka katika sekta
hii, alisisitiza Kinega.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Prof. James


Mdoe (wa kwanza kushoto, waliosimama) akizungumza wakati wa
mafunzo ya Wachimbaji Madini Wadogo Watakaonufaika na ambao
hawatanufaika na Ruzuku ya Wachimbaji Madini Wadogo ya Awamu
ya Tatu yaliyofanyika mjini Mpanda mkoani Katavi. Waliokaa mbele
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Rafael Muhuga (wa
pili kulia, Kaimu Kamishna wa Madini, Julius Sarota, (wa tatu kulia), na
Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Wadogo
Tanzania (FEMATA), Haroun Kinega, (wa kwanza kulia)

Baadhi ya Wachimbaji Madini Wadogo watakaonufaika na Ruzuku ya


Awamu ya Tatu inayotolewa na Serikali wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa
yakitolewa na Wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini mjini
Mpanda mkoani Katavi.
Mkuu wa Mkoa wa
Katavi, Meja Jenerali
Mstaafu, Rafael Muhuga
akifungua rasmi mafunzo
ya Wachimbaji Madini
Wadogo Watakaonufaika
na ambao hawatanufaika
na Ruzuku ya Wachimbaji
Madini Wadogo ya Awamu
ya Tatu yaliyofanyika mjini
Mpanda mkoani Katavi.

Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Kusini, Mhandisi, Benjamin


Mchwampaka (wa tatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na
Wachimbaji Madini Wadogo watakaonufaika na Ruzuku ya Awamu ya
Tatu kutoka Kanda hiyo ya Kusini.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

Watakaotumia Fedha za Ruzuku Vibaya


kuchukuliwa hatua za kisheria
Na Mwandishi Wetu, Mpanda

Naibu Katibu Mkuu


wa Wizara ya
Nishati na Madini
anayeshughulikia
Madini Profesa
James Mdoe
akisalimiana na
Kamishna Msaidizi
wa Madini Kanda
ya Magharibi ,
Mhandisi Oforo
Ngowi. Wengine
katikakati ni
Kamishna Msaidizi
wa Madini Kanda
ya Kusini Mhandisi
Benjamini
Mchwampaka na
Kamishna Msaidizi
wa Madini Kanda
ya Kati Magharibi
Salim Salim.

erikali imeonya watakaotumia fedha


za Ruzuku kwa ajili ya wachimbaji
madini wadogo kinyume na Mikataba
waliyoingia na Serikali watachukuliwa
hatua za kisheria ikiwemo kupelekwa
mahakamani ili kurudisha fedha zilizotumika na
mnufaika husika.
Hayo yalibainishwa hivi karibuni mjini
Mpanda na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini anayeshughulikia Madini,
Profesa James Mdoe wakati akifunga mafunzo
kwa wanufaika wa ruzuku Awamu ya Tatu.
Profesa Mdoe alisema kuwa, Serikali Awamu
ya Tano imedhamiria kuwawezesha wachimbaji
wadogo ili kuhakikisha kwamba wanatoka katika
uchimbaji mdogo wa madini kwenda wa Kati
hivyo, wananufaika ambao watatumia ruzuku
inayotolewa na Serikali kwa mipango tofauti na
iliyopangwa watachukuliwa hatua.
Tunataka ruzuku awamu ya Tatu na awamu
zinazoendelea kuhakikisha kwamba zinakuwa
na tija kubwa katika sekta ya uchimbaji madini,
Serikali ya Awamu ya Tano haina mzaha,
watakaotumia vibaya hatua kali zitachukuliwa,
alisisitiza Prof. Mdoe.
Aidha, Profesa Mdoe aliwataka watendaji
wanaohusika na ufuatiliaji wa ruzuku hizo
wajipange na kukaa chonjo ikiwemo kutekeleza
wajibu wao na kuhakikisha kwamba matumizi ya
ruzuku hizo yanakuwa na ufanisi mkubwa.
Pia, alitumia fursa hiyo kulitaka Shirika la
Madini la Taifa (STAMICO), kujipambanua ili
kuwafikia wachimbaji wengi zaidi ili wale ambao
hawajanufaika kupitia Shirika hilo waweze
kufikiwa.
Lakini na ninyi wachimbaji litumieni shirika
letu la STAMICO ili muweze kupata ushauri,
mafunzo kwa ajili ya shughuli zenu. Shirika
hili ndio mlezi wenu. Lakini pia, hakikisheni
mnazitumia Ofisi zetu za Kanda zilizopo maeneo
mbalimbali nchini,alisema Prof. Mdoe.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini Profesa James Mdoe
akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya wanufaika wa Ruzuku Awamu ya Tatu.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia


Madini Profesa James Mdoe akishuhudia washiriki wa mafunzo ya
walionufaika na Ruzuku Awamu ya Tatu wakijisajili kwa ajili ya kuhudhuria
mafunzo hayo.

Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia Wachimbaji Wadogo,


Julius Sarota akizungumza jambo wakati wa mafunzo ya Wanufaika wa
Ruzuku Awamu ya Tatu. Nyuma yake ni Kamishna Msaidizi wa Madini
Kanda ya Kusini Magharibi, Mhandisi John Nayopa.

10

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Januari 20 - 26, 2017

PROF. MDOE MBEYA

aibu Katibu Mkuu


wa Nishati na Madini
anayeshughulikia
Madini, Profesa James
Mdoe, tarehe 18 Januari,
2017 alikutana na Watumishi wa Ofisi

01

ya Madini Kanda ya Magharibi, jijini


Mbeya na Ofisi ya Afisa Mfawidhi
wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini
Tanzania (TMAA), ambapo
alizungumzia masuala mbalimbali ya
utendaji kazi.

Miongoni mwa yaliyosisitizwa


katika kikao hicho na Profesa Mdoe ni
nidhamu ya kazi na kufanya kazi kwa
bidii ili kuhakikisha kuwa, malengo
yaliyopangwa kufanywa kwa mwaka
wa fedha 2016/17 yanakamilishwa

ikiwemo ukusanyaji wa maduhuli.


Aidha, Profesa Mdoe alisisitiza
kuhusu leseni za uchimbaji madini
zisizofanya kazi wala kulipiwa mapato
na kueleza kuwa, lazima zifutwe.

04

05
02
PICHA 1:
Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Madini Mbeya na Ofisi ya Afisa
Mfawidhi wa TMAA, wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Nishati
na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe. Hayupo
pichani.
PICHA 2:
Afisa Mfawidhi wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania
(TMAA), Mhandisi Said Mkwawa (kushoto) akimweleza Naibu
Katibu Mkuu wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini,
Profesa James Mdoe (wa pili kushoto), shughuli za Wakala huo
mkoani Mbeya. Wengine ni Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya
Kusini Magharibi, John Nayopa na Kamishna Msaidizi wa Madini
anayeshughulikia Wachimbaji Wadogo, Julius Sarota.

03

PICHA 3:
Meneja Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali Madini
(SMMRP), Mhandisi Sabai Nyansiri (wa pili kulia). Akiangalia
mtambo unaotumika kuangalia ubora wa dhahabu katika Ofisi ya
Afisa Mfawidhi wa TMAA. Wa kwanza kushoto ni Afisa Mfawidhi
wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Mhandisi Said Mkwawa.
Wengine ni Maafisa kutoka Ofisi ya TMAA Mbeya na Wizara ya
Nishati na Madini.
PICHA 4:
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (katikati), akiwa
katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Madini Mbeya
na Ofisi ya Afisa Mfawidhi wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini
Tanzania (TMAA), Wengine ni watumishi kutoka Wizara ya Nishati
na Madini, Shirika la Madini la Taifa (STAMICO),na Ofisi ya Madini
Kanda ya Kusini.
PICHA 5:
Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kusini Magharibi, Mhandisi
John Nayopa akizungumza jambo wakati wa kikao cha Profesa
Mdoe (katikati) na Watumishi wa madini na TMAA. Kushoto
ni Afisa Mfawidhi wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA),
Mhandisi Said Mkwawa.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

11

WADAU WAPONGEZA NISHATI NA


MADINI KWA MFUMO WA TREMIS

Mtaalam kutoka Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano


(TEHAMA), Wizara ya Nishati na Madini, Justin Chankan akiwasilisha
rasimu ya mfumo wa TREMIS katika kikao hicho.

Kaimu Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati


na Madini Mhandisi Styden Rwebangila akielezea faida za mfumo wa
uhifadhi data na utoaji taarifa kwa ajili ya nishati jadidifu (TREMIS)
mbele ya wadau wa nishati jadidifu (hawapo pichani)

Na Greyson Mwase,
Mwanza

adau mbalimbali
wa vifaa ya
umeme jua kutoka
katika mikoa ya
Mwanza na Kagera
wamepongeza Wizara ya Nishati na
Madini kwa kuanzisha mfumo mpya
wa uhifadhi data na utoaji taarifa
kwa ajili ya nishati jadidifu ujulikanao
kama Tanzania Renewable Energy
Management Information System
(TREMIS) wenye lengo la kutangaza
fursa za uwekezaji katika nishati
jadidifu nchini.
Mfumo wa TREMIS unaratibiwa
na Mradi wa Kuwajengea Uwezo
Wataalam wa Nishati na Tasnia
ya Uziduaji (CADESE) kwa
kushirikiana na Idara ya Nishati,
Wizara ya Nishati na Madini.
Wakitoa pongezi hizo katika
kikao cha maandalizi ya mfumo huo
kilichofanyika jijini Mwanza hivi
karibuni wamesema kuwa mfumo
huo utawezesha shughuli za kampuni
zao kufahamika ndani na nje ya nchi
na kupata wabia wa kushirikiana nao
katika bishara ya vifaa vya umeme
jua.
Akizungumza kwa niaba ya
wenzake, mmiliki wa kampuni ya
kusambaza vifaa vya umeme jua ya
Kaguta General Supplies yenye
makazi yake Bukoba mkoani Kagera,
Justin Kamlali amesema kuwa
mfumo wa TREMIS utawawezesha
kufahamika ndani na nje ya nchi.
Alisema kuwa biashara ya
vifaa vya umeme jua imekuwa na
changamoto nyingi ikiwa ni pamoja
na kutofahamika na kupelekea wateja

kutokuwa na imani na huduma zao.


Baada ya ya mfumo huu
kukamilika na kuunganishwa
na tovuti ya Wizara, wadau na
wawekezaji wengi kutoka ndani na
nje ya nchi watakaotembelea tovuti
ya wizara watapata fursa ya kuona
taarifa za kampuni zetu na kuwa na
imani ya kufanya kazi pamoja nasi
tofauti na zamani. Alisema .
Aliongeza kuwa kutokana na
kampuni nyingi zinazojihusisha na
biashara ya vifaa vya umeme jua
kutokuwa na tovuti imekuwa ni
vigumu kwa biashara zao kufahamika
na watu wengi zaidi mbali na kutumia
vyombo vya habari vilivyopo katika
mikoa hiyo.
Naye Mkurugenzi Mtendaji
kutoka kampuni ya Rex Energy,
Francis Kibhisa alisema kuwa
mfumo wa TREMIS ni mkombozi
kwa wamiliki wa kampuni ndogo
zinazojihusisha na vifaa vya umeme
jua na nishati jadidifu ambapo
watapata soko ndani na nje ya nchi
kutokana na kufahamika kwao
Alisisitiza kuwa mfumo huo
utawezesha wawekezaji kutoka nje ya
nchi kufahamu maeneo ya uwekezaji
zaidi katika eneo la nishati jadidifu na
kuja kuwekeza nchini.
Mradi wa CADESE
unaofadhiliwa na Shirika la Umoja
wa Mataifa linaloshughulika na
Maendeleo (UNDP) ulianzishwa
mwaka 2014 na unatekelezwa na
Wizara ya Nishati na Madini kwa
kushirikiana na wadau wengine kama
Wakala wa Nishati Vijijini (REA),
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa
Serikali (AG), Taasisi ya Uongozi na
Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na
Kijamii (ESRF).

Kaimu Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na


Madini Mhandisi Styden Rwebangila (mbele) akielezea faida za mfumo
wa uhifadhi data na utoaji taarifa kwa ajili ya Nishati Jadidifu (TREMIS)
mbele ya wadau wa nishati jadidifu.

Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wataalam wa Nishati na


Tasnia ya Uziduaji (CADESE), Paul Kiwele (kushoto) akifuatilia mada
mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika kikao hicho. Kulia ni Nasra
Mohamed kutoka Wizara ya Nishati na Madini.

Sehemu ya wajumbe na wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini,


wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Kamishna MsaidiziNishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Styden
Rwebangila (hayupo pichani)

12

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

MATUKIO KATIKA PICHA

REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST


CONSULTANCY SERVICES FOR UNDERTAKING STAFFING
NEEDS ASSESSMENT FOR THE SECRETARIAT OF THE
TANZANIA EXTRACTIVE INDUSTRIES TRANSPARENCY
INITIATIVE
ME/008/2016-17/TEITI/C/03
1.

The Government of the United Republic of Tanzania through the


Ministry of Energy and Minerals (MEM) has received financial support
to meet eligible payments for Provision of Consultancy Services for
Undertaking Staffing Needs Assessment for the Secretariat of the
Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative.

2.

Tanzania joined EITI in February 2009, with the objective of promoting


transparency and accountability in its natural resources. The process in
Tanzania is led by a Committee consisting of civil society organizations,
government agencies and extractive companies. In December 2012,
the EITI Board declared Tanzania compliant with the EITI transparency
standard. EITI compliance means that a country has an effective process
for annual disclosure and reconciliation of all revenues from its extractive
sector and that its citizens can see how much their country receives
from oil, gas and mining companies.

3.

On behalf of the Tanzania EITI Committee, the Ministry of Energy


and Minerals seeks a competent and credible firm, free from conflict
of interest to provide the service of undertaking the staffing needs
assessment. Tendering will be conducted through the National
Competitive Bidding Procedures specified in the Public Procurement
Act, 2011. Interested consulting firms must provide information
indicating that they are qualified to perform the services. In particular,
interested consulting firms must provide company profile, description
of similar assignments, experience in similar conditions, and availability
of appropriate skills among staff). Firms may associate to enhance their
qualifications.

4.

The prospective consultant is to be selected in accordance with the


Consultant Qualification Selection (CQS) procedures as defined by the
Public Procurement Act, 2011 and its Regulation 263 issued under GN
446 of 2013.

5.

Expressions of interest (EoI) must be delivered to the address below by


January 30, 2017 before 10:00 hours, and should be clearly marked on
the subjectConsultancy for Undertaking Staffing Needs Assessment
for the Secretariat of the Tanzania Extractive Industries Transparency
Initiative.Bids will be opened promptly thereafter in public and in
the presence of consultants or their representatives who choose to
attend the opening ceremony, at the Ministry of Energy and Minerals,
TANESCO Building, Wing B 6th Floor, Room 10 C.

6.

EoI should be submitted to the Secretary of Ministerial Tender Board,


6th Floor, Wing B Room 10 C. Late or Electronic delivery of EoI will not be
accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

The Permanent Secretary,


Ministry of Energy and Minerals,
5 Samora Machel Avenue,
P.o. Box 2000, 11474 Dar -Es -Salaam.
Phone: +255 22 2117156-9
Fax: +255 22 2111749
Email: ps@mem.go.tz
Web: www.mem.go.tz

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, (PAC)


wakikagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini - Mufindi mkoani
Iringa.

Moja ya mashine za kusaga na kukoboa nafaka katika kijiji cha Nyigo,


Mufindi mkoani Iringa inayotumia umeme baada ya kuunganishwa na
Mradi wa Umeme Vijijini.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali,


(PAC) wakimsikiliza Meneja wa TANESCO Mufindi, wakati wa ziara
ya kukagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini. Kamati ya PAC
imeambatana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.t. Medard
Kalemani pamoja na watendaji kutoka Wakala ya Nishati Vijijini (REA)
na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

13

MAFUNZO KWA WACHIMBAJI MADINI


WADOGO, RUZUKU AWAMU YA TATU
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali
Mstaafu, Rafael Muhuga (wa tatu kulia
waliokaa), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara
ya Nishati na Madini, Prof. James Mdoe
(wa pili kushoto) wakiwa katika picha ya
pamoja na Wadau mbalimbali walioshiriki
mafunzo ya Wachimbaji Madini Wadogo
Watakaonufaika na ambao hawatanufaika
na Ruzuku ya Wachimbaji Madini
Wadogo ya Awamu ya Tatu yaliyofanyika
mjini Mpanda mkoani Katavi. Wengine
waliokaa mbele ni Kaimu Kamishna wa
Madini, Julius Sarota, (wa kwanza kulia),
Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji
Madini Wanawake nchini (TAWOMA),
Eunice Negele (wa pili kulia) na Makamu
wa Rais wa Shirikisho la Vyama vya
Wachimbaji Madini Wadogo Tanzania
(FEMATA), Dkt.t. Omar Mzeru (wa kwanza
kushoto).

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Rafael Muhuga (wa tatu
kulia waliokaa), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Prof.
James Mdoe (wa pili kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa
Taasisi mbalimbali na Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda mbalimbali
walioshiriki mafunzo ya Wachimbaji Madini Wadogo Watakaonufaika na ambao
hawatanufaika na Ruzuku ya Wachimbaji Madini Wadogo ya Awamu ya Tatu
yaliyofanyika mjini Mpanda mkoani Katavi. Wengine waliokaa mbele ni Kaimu
Kamishna wa Madini, Julius Sarota, (wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Chama
cha Wachimbaji Madini Wanawake nchini (TAWOMA), Eunice Negele (wa pili
kulia) na Makamu wa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini
Wadogo Tanzania (FEMATA), Dkt.t. Omar Mzeru (wa kwanza kushoto).

Mhandisi Chacha Megewa kutoka


Wizara ya Nishati na Madini akitoa
mafunzo kuhusu ujasiriamali na
menejimenti ya uchimbaji mdogo
wa madini kwa Wachimbaji Madini
Wadogo watakaonufaika na Ruzuku
ya Awamu ya Tatu na ambao
hawatanufaika Ruzuku hiyo. Mafunzo
hayo yalifanyika mjini Mpanda mkoani
Katavi.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu Rafael Muhuga (wa tatu
kulia waliokaa), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Prof.
James Mdoe (wa pili kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi
wa Wizara ya Nishati na Madini walioshiriki mafunzo ya Wachimbaji Madini
Wadogo Watakaonufaika na ambao hawatanufaika na Ruzuku ya Wachimbaji
Madini Wadogo ya Awamu ya Tatu yaliyofanyika mjini Mpanda mkoani Katavi.
Wengine waliokaa mbele ni Kaimu Kamishna wa Madini, Julius Sarota, (wa
kwanza kulia), Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake nchini
(TAWOMA), Eunice Negele (wa pili kulia) na Makamu wa Rais wa Shirikisho
la Vyama vya Wachimbaji Madini Wadogo Tanzania (FEMATA), Dkt.t. Omar
Mzeru (wa kwanza kushoto).

14

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

ZIARA YA KAMISHNA MSAIDIZI NISHATI


JADIDIFU MRADI WA UMEME JUA UKEREWE

Kaimu Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati


na Madini Mhandisi Styden Rwebangila (kulia) akibadilishana mawazo
na Afisa Sheria kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Peter
Malendecha (kushoto) mara baada ya kuwasili katika wilaya hiyo.

Kaimu Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati


na Madini Mhandisi Styden Rwebangila (kulia) pamoja na wajumbe
wengine wakielekea katika kisiwa kidogo cha Ghana/Siza kwa ajili
ya kukagua miradi ya umeme jua inayotekelezwa na kampuni ya Rex
Energy.

Katibu wa Kitongoji cha Ghana/Siza wilayani Ukerewe, Frank


Matondane akielezea mahitaji ya umeme katika kitongoji hicho
mbele ya Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya
Nishati na Madini Mhandisi Styden Rwebangila pamoja na wataalam
kutoka Idara ya Nishati, Wizara ya Nishati na Madini (hawapo pichani)

Mkurugenzi Mtendaji kutoka


kampuni ya Rex Energy, Francis
Kibhisa (kulia) akielezea hatua
ya utekelezaji ya miradi ya
kusambaza umeme katika
kisiwa cha Ghana/Siza wilayani
Ukerewe kwa Kaimu Kamishna
Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka
Wizara ya Nishati na Madini
Mhandisi Styden Rwebangila
(kushoto)
Mkurugenzi Mtendaji kutoka
kampuni ya Rex Energy,
Francis Kibhisa (kushoto)
akionesha eneo litakalowekwa
mitambo ya umeme katika
kitongoji cha Ghana/Siza
wilayani Ukerewe kwa Kaimu
Kamishna Msaidizi- Nishati
Jadidifu kutoka Wizara ya
Nishati na Madini Mhandisi
Styden Rwebangila (kulia).

Sehemu ya miundombinu ya umeme iliyokamilika katika kisiwa cha Ghana/Siza

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

15

DKT. PALLANGYO AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA NORWAY

Naibu Katibu Mkuu


anayeshughulikia
Nishati, Wizara ya
Nishati na Madini,
Dkt.t. Mhandisi Juliana
Pallangyo (katikati,
mbele) akizungumza
wakati wa mkutano
wa kujadili masuala
mbalimbali kuhusiana
na Sekta ya Nishati
nchini hususan suala
la umeme.

Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Nishati, Wizara ya Nishati na


Madini, Dkt.t. Mhandisi Juliana Pallangyo (kushoto) akimsikiliza Mwakilishi
kutoka Ubalozi wa Norway Tanzania, Trygve Bendiksby (hayupo pichani)
alipokuwa akizungumzia ushirikiano na uendelezaji wa Sekta ya Nishati
Tanzania.

Baadhi ya Wajumbe
wa mkutano kutoka
Wizara ya Nishati
na Madini, Mamlaka
ya Udhibiti wa
Huduma za Nishati
na Maji (EWURA) na
Shirika la Umeme
Tanzania (TANESCO)
wakifuatilia
majadiliano. Wa
kwanza kushoto ni
Kaimu Kamishna
wa Nishati, Mhandisi
Innocent Luoga.

Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Norway Nchini, Trygve Bendiksby (kulia),


Mshauri wa Masuala ya Nishati kutoka Ubalozi wa Norway Nchini, Katrine
Vestbostad (katikati) na Mkurugenzi wa Idara ya Kimataifa wa Kurugenzi
ya Rasilimali za Nishati na Maji nchini Norway, Gunn Oland.

16

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

PROF MUHONGO AKUTANA NA KATIBU


MKUU KIONGOZI WA DENMARK

Katibu Mkuu Kiongozi toka nchini Denmark Martin Hermann akisaini


kitabu cha wageni alipomtembelea Waziri wa Nishati na Madini Prof.
Sospeter Muhongo ofisini kwake kueleza nia ya kuwekeza katika
masuala ya umeme na mbolea nchini.

Katibu Mkuu Kiongozi wa Denmark Martin Hermann (aliyeshika karatasi)


akimsikiliza Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo wakati
alipomtembelea ofisini kwake.

Waziri wa Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akiuelezea


Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo na Martin Hermann
Ujumbe uliiongozwa na Balozi wa Denmark nchini, Einar Hebogard
Mipango ya Serikali katika kuboresha huduma za umeme ili kuiwezesha Katibu Mkuu Kiongozi wa Denmark katika picha ya pamoja.
nchi kufikia uchumi wa Kati ifikapo 2025. Mwenye faili ya blue kushoto
kwake ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Denmark Martin Hermann.
Waziri wa Nishati
na Madini, Prof.
Sospeter Muhongo
(katikati) katika
picha ya pamoja
na Katibu Mkuu
Kiongozi wa
Denmark, Martin
Hermann (kushoto)
na Balozi wa
Denmark nchini
Einar Hebogard
(Kulia)
Balozi wa Dernmak nchini Einar Hebogard akizungumza wakati wa kikao
na Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo kilichofanyika
ofisini Kwa Prof Muhongo Tarehe 19/1/2017.

Waziri wa Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo (kushoto)


akifuatiwa na Katibu wake Mhandisi Joseph Kumburu na Wajumbe
walioambatana na Balozi wa Denmark nchini.

Ujumbe ulioambatana na Balozi wa Denmark Nchini katika picha ya


pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo.

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

Januari 20 - 26, 2017

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST

REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST


CONSULTANCY SERVICES FOR CARRYING OUT A
SCOPING STUDY ON ARTISANAL AND SMALL-SCALE
MINING FOR THE PURPOSE OF INCLUDING THE SUBSECTOR IN THE REVENUE DISCLOSURE THROUGH THE
TANZANIA EXTRACTIVE INDUSTRIES TRANSPARENCY
INITIATIVE
ME/008/2016-17/TEITI/C/01
1.

2.

3.

CONSULTANCY SERVICES FOR DEVELOPING


REGULATIONS FOR IMPLEMENTING THE TANZANIA
EXTRACTIVE INDUSTRIES (TRANSPARENCY AND
ACCOUNTABILITY) ACT
ME/008/2016-17/TEITI/C/02
1.

The Government of the United Republic of Tanzania through the Ministry of


Energy and Minerals (MEM) has received financial support to meet eligible
payments for Provision of Consultancy Services for Carrying out a Scoping
Study on Artisanal And Small-Scale Mining for the Purpose of Including
the Sub-Sector in the Revenue Disclosure Through the Tanzania Extractive
Industries Transparency Initiative.

The Government of the United Republic of Tanzania through the


Ministry of Energy and Minerals (MEM) has received financial support
to meet eligible payments for Provision of Consultancy Services for
Developing Regulations for Implementing the Tanzania Extractive
Industries (Transparency and Accountability) Act.

2.

Tanzania joined EITI in February 2009, with the objective of promoting


transparency and accountability in its natural resources. The process in
Tanzania is led by a Committee consisting of civil society organizations,
government agencies and extractive companies. In December 2012, the
EITI Board declared Tanzania compliant with the EITI transparency standard.
EITI compliance means that a country has an effective process for annual
disclosure and reconciliation of all revenues from its extractive sector and that
its citizens can see how much their country receives from oil, gas and mining
companies.

Tanzania joined EITI in February 2009, with the objective of promoting


transparency and accountability in its natural resources. The process in
Tanzania is led by a Committee consisting of civil society organizations,
government agencies and extractive companies. In December 2012,
the EITI Board declared Tanzania compliant with the EITI transparency
standard. EITI compliance means that a country has an effective process
for annual disclosure and reconciliation of all revenues from its extractive
sector and that its citizens can see how much their country receives
from oil, gas and mining companies.

3.

On behalf of the Tanzania EITI Committee, the Ministry of Energy and


Minerals seeks a competent and credible firm, free from conflict of
interest to provide the service of developing the regulations for the Act.
Tendering will be conducted through the National Competitive Bidding
Procedures specified in the Public Procurement Act, 2011. Interested
consulting firms must provide information indicating that they are
qualified to perform the services. In particular, interested consulting
firms must provide company profile, description of similar assignments,
experience in similar conditions, and availability of appropriate skills
among staff). Firms may associate to enhance their qualifications.

4.

The prospective consultant is to be selected in accordance with the


Consultant Qualification Selection (CQS) procedures as defined by the
Public Procurement Act, 2011 and its Regulation 263 issued under GN
446 of 2013.

5.

Expressions of interest (EoI) must be delivered to the address below by


January 30, 2017 before 10:00 hours, and should be clearly marked on
the subjectConsultancy for Developing Regulations for Implementing
the Tanzania Extractive Industries (Transparency and Accountability)
ActBids will be opened promptly thereafter in public and in the
presence of consultants or their representatives who choose to
attend the opening ceremony, at the Ministry of Energy and Minerals,
TANESCO Building, Wing B 6th Floor, Room 10 C.

6.

EoI should be submitted to the Secretary of Ministerial Tender Board,


6th Floor, Wing B Room 10 C. Late or Electronic delivery of EoI will not be
accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

On behalf of the Tanzania EITI Committee, the Ministry of Energy and Minerals
seeks a competent and credible firm, free from conflict of interest to provide
the service of carrying out the scoping study. Tendering will be conducted
through the National Competitive Bidding Procedures specified in the Public
Procurement Act, 2011. Interested consulting firms must provide information
indicating that they are qualified to perform the services. In particular,
interested consulting firms must provide company profile, description
of similar assignments, experience in similar conditions, and availability
of appropriate skills among staff). Firms may associate to enhance their
qualifications.

4.

The prospective consultant is to be selected in accordance with the Consultant


Qualification Selection (CQS) procedures as defined by the Public Procurement
Act, 2011 and its Regulation 263 issued under GN 446 of 2013.

5.

Expressions of interest (EoI) must be delivered to the address below by January


30, 2017 before 10:00 hours, and should be clearly marked on the subject
Consultancy for Carrying out a Scoping Study on Artisanal And Small-Scale
Mining for the Purpose of Including the Sub-Sector in the Revenue Disclosure
Through the Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative.Bids will
be opened promptly thereafter in public and in the presence of consultants
or their representatives who choose to attend the opening ceremony, at the
Ministry of Energy and Minerals, TANESCO Building, Wing B 6th Floor, Room 10
C.

6.

EoI should be submitted to the Secretary of Ministerial Tender Board, 6th Floor,
Wing B Room 10 C. Late or Electronic delivery of EoI will not be accepted for
evaluation irrespective of the circumstances.

17

The Permanent Secretary,


Ministry of Energy and Minerals,
5 Samora Machel Avenue,
P.o. Box 2000,
11474 Dar -Es -Salaam.
Phone: +255 22 2117156-9
Fax: +255 22 2111749
Email: ps@mem.go.tz
Web: www.mem.go.tz

The Permanent Secretary,


Ministry of Energy and Minerals,
5 Samora Machel Avenue,
P.o. Box 2000,
11474 Dar -Es -Salaam.
Phone: +255 22 2117156-9
Fax: +255 22 2111749
Email: ps@mem.go.tz
Web: www.mem.go.tz

18

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Januari 20 - 26, 2017

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA SHIRIKISHO


LA NCHI ZA AFRIKA KUHUSU UMEME

Kaimu Meneja Uhusiano na Huduma Kwa Wateja wa Shirika la Umeme


Tanzania (TANESCO), Leila Muhaji (mwenye Koti la Bluu), akizungumza
na waandishi wa habari kuhusu lengo la Mkutano Mkuu wa 24 wa
Wataalam Waandamizi wa Sekta ya Nishati kutoka Shirikisho la Nchi za
Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Kuhusu Masuala ya Umeme (Eastern
Africa Power Pool - EAPP), uliofanyika jijini Arusha, Alhamisi, Januari 19
mwaka huu.

Katibu Mkuu wa EAPP na Mwakilishi wa Tanzania; Mhandisi Lebbi


Changullah (aliyesimama), akiwasilisha mada katika Mkutano Mkutano
Mkuu wa 24 wa Wataalam Waandamizi wa Sekta ya Nishati kutoka
Shirikisho la Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Kuhusu Masuala
ya Umeme (Eastern Africa Power Pool - EAPP), uliofanyika jijini Arusha,
Alhamisi, Januari 19 mwaka huu.

Wajumbe mbalimbali wa Mkutano Mkuu wa wa 24 wa Wataalam Waandamizi wa Sekta ya


Nishati kutoka Shirikisho la Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Kuhusu Masuala ya
Umeme (Eastern Africa Power Pool - EAPP), uliofanyika jijini Arusha, Alhamisi, Januari 19 mwaka
huu, wakiwa katika Mkutano huo.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

19

20

Habari za nishati/madini

Januari 20 - 26, 2017

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Anda mungkin juga menyukai