Anda di halaman 1dari 16

HABARI

HabariZAza
NISHATI
nishati&MADINI
&madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo No.173
Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi
Limesambazwa kwana Idaranazote
Taasisi IdaraMEM
zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015
Mei 26 - June 1, 2017

Wabunge
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2
MARAIS, TANZANIA, UGANDA
WASAINI TAMKO LA PAMOJA
MRADI WA BOMBA LA MAFUTA
Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA
Somahabari Uk.2

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli (kulia) na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta
Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa
mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania

Waziri wa Nishati Mkurugenzi Mtend- Mkurugenzi Mkuu wa


Naibu Waziri wa Nishati na Naibu Waziri wa Nishati na

MAHAFALI YA NNE TGC YAFANA


na Madini, Profesa aji wa TANESCO, REA, Dk. Lutengano
Madini, anayeshughulikia Madini anayeshughulikia Mhandisi Felchesmi
Sospeter Muhongo Madini Stephen Masele Nishati, Charles Kitwanga Mwakahesya UK
Mramba
>>4

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4


Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
kwa ajili ya News Bullettinau Fika hii
Ofisina Jarida laGhorofa
ya Mawasiliano Wizarya
a Tano
ya Nishati
(MEM) na Madini
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com
NewsBulletin
Habari za nishati/madini

2
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

Na Greyson Mwase,
Dar es Salaam
Marais, Tanzania, Uganda wasaini Tamko
la pamoja mradi wa Bomba la Mafuta

R
ais wa Jamhuri
ya Muungano
wa Tanzania,
Dkt. John Pombe vigezo vingine kuwa ni pamoja na
Magufuli na Tanzania kuwa na uzoefu mkubwa
Rais wa Uganda, Yoweri katika usimamizi wa bomba la mafuta
Kaguta Museveni, Mei 21,2017 na gesi kama vile bomba la mafuta
wametia saini tamko la pamoja la TAZAMA na la gesi linalotoka
(Communique) la kukamilika Mtwara hadi jijini Dar es Salaam.
kwa majadiliano ya vipengele Pia bandari ya Tanga ni nzuri
vya mkataba ambao utasainiwa kwa kuwezesha mafuta kusafirishwa
hapo baadaye kwa ajili ya kwa mwaka mzima bila tatizo lolote,
utekelezaji wa mradi wa ujenzi alisema Rais Magufuli.
wa Bomba la Mafuta Ghafi Akielezea manufaa
kutoka Hoima nchini Uganda yatakayopatikana mara baada ya
hadi Tanga nchini Tanzania. kukamilika kwa mradi huo Rais
Hafla hiyo iliyofanyika Magufuli alisema nchi za Tanzania na
Ikulu jijini Dar es Salaam Uganda zitapata mapato na kuongeza
ilihudhuriwa pia na viongozi Kutoka kulia, Katibu Mkuu Kiongozi John William Herbert Kijazi,
aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo,
kasi ya ukuaji wa uchumi wake
mbalimbali wa nchi zote mbili Alieleza faida nyingine ni pamoja
wakiwemo Mawaziri, Makatibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, na Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na na gharama za mafuta kupungua
Wakuu, Wanasheria Wakuu kutokana na nchi za Afrika Mashariki
Kimataifa, Dkt. Augustine Mahiga wakibadilishana mawazo kabla
wa Serikali, Wakurugenzi na ya Hafla ya utiaji saini tamko la pamoja na utekelezaji wa ujenzi wa kutumia mafuta yake yenyewe kwenye
Viongozi wa Taasisi mbalimbali Bomba la kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima, magari pamoja na ndege hivyo
zinazohusika na mradi huo. Uganda hadi katika Bandari ya Tanga, Tanzania iliyofanyika Ikulu jijini kuchochea kasi ya utalii katika nchi
Baada ya utiaji saini Dar es Salaam Mei 21, 2017. husika pamoja na ajira.
wa tamko hilo, wataalam
ya Dola za Marekani Bilioni 3.55, na ushindani mkubwa hata hivyo Dkt. Magufuli aliwataka wataalam
wataandaa mkataba wa mradi
kati ya Tanzania na Uganda unatarajiwa kusafirisha mapipa laki bado ilionekana Tanzania kuwa na kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi
ambao umepangwa kukamilika mbili na kutoa ajira kati ya 6,000 na vigezo vya bomba hilo kupita katika ili uweze kukamilika kwa wakati na
ndani ya kipindi cha wiki moja, 10,000. sehemu kubwa ya ardhi yake ambapo wananchi wa nchi zote mbili kuanza
na baada ya hapo taratibu Akizungumza mara baada ya alieleza vigezo hivyo kuwa ni pamoja kufaidi matunda ya mradi huo.
za kuweka jiwe la msingi la kukamilika kwa utiaji saini wa tamko na hali ya tambarare katika ardhi ya Naye Rais wa Uganda, Yoweri
kuanza kwa ujenzi wa mradi hilo, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hivyo gharama za uwekezaji Museveni alimpongeza Rais Magufuli
huo zitafanyika. wa Tanzania Dkt. John Pombe kuwa rahisi. na Serikali yake kwa kutia msukumo
Mara baada ya kukamilika Magufuli, alisema kukamilika kwa Aliongeza kuwa ardhi ya Tanzania mkubwa kufanikisha mradi huu na
kwa ujenzi wa mradi huo mradi huo kutaleta mabadiliko ya ni rahisi pamoja na kuwepo kwa kuongeza kuwa mradi utazinufaisha
wenye urefu wa jumla ya kiuchumi katika nchi za Uganda na hifadhi ya barabara katika maeneo nchi za Afrika Mashariki yakiwemo
Kilometa 1,443 zikiwemo 1,115 Tanzania. mengi hali inayopelekea gharama za mashirika ya ndege ambapo yatapata
zitakazojengwa katika ardhi ya Akielezea mradi huo, Dkt fidia kuwa ndogo mafuta kwa gharama nafuu na kukua
Tanzania utakaogharimu jumla Magufuli alisema kuwa mradi ulikuwa Rais Magufuli aliendelea kueleza zaidi kibiashara.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe


Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni na wajumbe
wao katika mazungumzo ya mwisho kabla ya kutia saini Tamko la
pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa
utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bomba la kusafirisha Mafuta Ghafi
kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika Hafla Sehemu ya watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini wakifurahia
iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam. jambo katika Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.
NewsBulletin 3
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Mei 26 - June 1, 2017

RAIS MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA


UGANDA WASAINI TAMKO LA PAMOJA LA
UTEKELEZAJI WA UJENZI WA BOMBA LA

TAHARIRI MAFUTA HOIMA TANGA

UTEKELEZAJI WA BAJETI
KWA MWAKA 2016/17
UMELETA TIJA
Mwanzoni mwa Mwezi Aprili mwaka huu, Wizara ya Nishati
na Madini na Taasisi zake ziliwasilisha kwa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Nishati na Madini Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti kwa
mwaka wa Fedha 2016/17.
Mengi yametekelezwa na Wizara na Taasisi zake katika Sekta za
Nishati na Madini na mafanikio hayo hayapaswi kubezwa kwa kuwa
utekelezaji wake umewezesha wananchi na Taifa kupiga hatua.
Jambo hilo linajidhihirisha wazi tukianzia na mifano michache
ikiwemo miradi ya Gesi Asilia. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), hivi sasa takribani
asilimia 50 ya umeme kwenye Gridi ya Taifa unazalishwa kutokana
na gesi. Hii ni hatua kwa kuwa, upatikanaji na uwepo wa gesi asilia Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni
umewezesha Taifa kupunguza kiwango cha kuzalisha umeme kwa wakiwa na Mawaziri na maafisa waandamizi wa pande zote mbili baada ya
kutumia mafuta mazito ambayo ni gharama. kukamilika zoezi la utiaji saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na
Aidha, Miradi ya Umeme Vijijini inayotekelezwa na Wakala vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta
wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.
Tanzania (TANESCO), imewezesha Watanzania kupata fursa za
kutumia nishati ya umeme ambayo inatajwa kuwa kichocheo kikubwa
cha kuwezesha shughuli za kiuchumi, kijamii na maendeleo ya Taifa.
Akitangaza Takwimu mpya za kiwango cha utumiaji umeme
nchini, mnamo tarehe 20 Machi, 2017, aliyekuwa Waziri wa Nishati
na Madini Profesa Sospeter Muhongo alisema kuwa, hadi kufikia
Desemba, 2016 fursa ya kutumia umeme nchini (overall National
acess level) imeongezeka hadi kufikia asilimia 67.5 kutoka asilimia 10
ya mwaka 2007.
Aidha, Profesa Muhongo alisema kuwa, fursa ya kutumia umeme
vijijini kuwa imeongezeka kufikia asilimia 49.5 kutoka asilimia mbili
(2) mwaka 2007, huku fursa ya utumiaji umeme mijini ikiongezeka
hadi asilimia 97.3. Tunasema haya ni mafanikio kwa kuwa, ongezeko
hili linawezesha watanzania kupata fursa ya kujikita katika shughuli za
kiuchumi kwa kupitia nishati ya umeme.
Utekelezaji huu wa miradi ni hatua, mafanikio na maendeleo
kutokana na umuhimu wa nishati. Nishati ni muhimu kwa kuwa
inahitajika takriban katika kila sekta ikiwemo Afya, Elimu na
huduma nyingine. Ni wazi kuwa, kukosekana kwa nishati ya umeme
kunaweza kuchelewesha maendeleo katika jamii yoyote ile ikiwemo Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni
kusababisha umaskini. wakiwa na watendaji wa pande zote mbili baada ya kukamilika zoezi la utiaji saini
Aidha, kuzinduliwa rasmi kwa Awamu ya Tatu ya Mradi tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa
Kabambe wa kupeleka umeme vijijini utapanua wigo na fursa za utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini
utumiaji umeme jambo ambalo pia litawezesha azma ya Serikali ya Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es
Mapinduzi ya Viwanda.
Vilevile, katika Sekta ya Madini mengi yametekelezwa. Tukianza
na machache ni suala la kuhakikisha kwamba wachimbaji wadogo
KWA HABARI PIGA SIMU Five
wanaendelezwa kwa kuwezeshwa kutoka uchimbaji mdogo kwenda
wa Kati ikiwemo pia kutengewa maeneo ya uchimbaji. Katika hili,
kitengo cha mawasiliano Pillars of
Reforms
TEL-2110490
tayari Wizara imetenga jumla ya hekta 38.567 katika maeneo 11
nchini kwa ajili ya uchimbaji mdogo.

FAX-2110389
Maeneo hayo yapo Msasa na Matabe Mkoani Geita, Biharamulo
na Kyerwa yaliyopo Mkoani Kagera, Itigi, Mkoani Singida, D- Reef, increase efficiency
Ibindi na Kapanda Mkoani Katavi, Ngapa Mkoani Songea, Nzega

MOB-0732999263
Mkoani Tabora na Kitowelo Mkoani Lindi. Quality delivery
Tunachukua fursa hii kupongeza Watendaji na Watumishi wa of goods/service
Wizara na Taasisi zake zote kwa utekelezaji wa Bajeti ya Wizara satisfAction of
kwa mwaka 2016/17 kwa mafanikio. Hii ni kutokana na juhudi the client
zilizofanyika kuhakikisha kuwa, Watanzania na Taifa wananufaika na Bodi ya uhariri
rasilimali za Nishati na Madini. satisfaction of
Aidha, kutokana na utekelezaji huo, Wizara inatarajia kuendeleza Msanifu: Lucas Gordon business partners
utekelezaji wa majukumu yake kupitia Bajeti ya Mwaka 2017/18 Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
kutokana na miradi na mipango iliyoainishwa ambayo inalenga Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James , satisfAction of
kuongeza tija zaidi kwa Taifa. Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya shareholders
Habari za nishati/madini

4 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

MAHAFALI YA NNE TGC YAFANA


. Wanawake 18 wahitimu mafunzo ya uongezaji thamani madini
Na Veronica Simba Mhandisi Mchwampaka alisema

J
kuwa, Wizara inakusudia kupeleka
umla ya wanawake 18 watumishi wengine watano nje ya
kutoka mikoa mbalimbali nchi kwa ajili ya mafunzo husika ili
nchini, wamehitimu mafunzo kukijengea uwezo Kituo kwa kuwa
ya ukataji na ungarishaji na walimu wa kutosha.
madini ya vito katika Kituo Akizungumzia mafunzo mengine
cha Jemolojia Tanzania (TGC), yanayotarajiwa kutolewa na Kituo
kilichopo jijini Arusha, Mei 19 hicho baadaye, alisema kuwa ni
mwaka huu. pamoja na Jemolojia, Utengenezaji
Wahitimu hao wa Awamu wa bidhaa za mapambo pamoja na
ya Nne, wamefanya idadi ya uchongaji wa vinyago vya mawe.
waliohitimu tangu kuanzishwa Aidha, Kituo kitaanzisha
mafunzo husika katika Kituo hicho maabara ya utambuzi na uthibitishaji
kufikia 65. wa madini ya vito na bidhaa za
Akizungumza katika sherehe za urembo.
Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Akisoma Risala mbele ya Mgeni
Mahafali hayo, Mgeni Rasmi, Naibu Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (mwenye koti la mauamaua), Rasmi, kwa niaba ya wahitimu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati akikagua kazi za uongezaji thamani madini ya vito, zinazofanywa wenzake, Theresia Mollel, alisema
na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), kilichopo jijini Arusha. kuwa mafunzo hayo yamewapa
Pallangyo, alitoa wito kwa wadau wa
uwezo kama wanawake wa kufanya
madini ya vito nchini, kuwapa ajira alisisitiza. ya kuongeza thamani madini ya
kazi katika sekta ambayo wengi
na ushauri wa kitaalam wahitimu, ili Vilevile, Naibu Katibu Mkuu, vito kwa wachimbaji wadogo na hudhani wanawake hawaiwezi.
waweze kujiajiri katika shughuli za aliwaasa wahitimu kuwa mabalozi wajasiriamali wa madini hayo. Kupitia mafunzo haya,
uongezaji thamani madini. wazuri wa Kituo kinachotoa Aliongeza kuwa, malengo tunaihakikishia jamii kuwa
Lengo ni kuhakikisha kuwa mafunzo hayo ya TGC, kwa mengine ni pamoja na kukuza na wanawake tunaweza kufanya
ukataji unafanyika kwa viwango vya kuendelea kufanya shughuli za kufanikisha shughuli za uongezaji mabadiliko katika tasnia ya madini ya
kimataifa ili kuweza kuuza madini uongezaji thamani madini popote thamani katika madini ya vito nchini, vito na kuleta maendeleo katika jamii
yetu kwenye masoko ya nje. watakapokwenda. kukuza na kuendeleza ujuzi na na Taifa kwa ujumla.
Aidha, Dkt. Pallangyo alitoa Alitoa rai kwa uongozi wa TGC ufahamu wa kutambua madini ya Kituo cha Tanzania Gemological
changamoto kwa wadau wote wa kujenga utamaduni wa kuwaalika vito na kuongeza kipato na ajira kwa Centre (TGC) kilianzishwa mwaka
madini ya vito kuendelea kukuza wahitimu wote wa Kituo hicho watanzania. 2003.
shughuli za uongezaji thamani hususan waliojiajiri, kushiriki katika Alisema kuwa, katika kujenga Mafunzo haya hutolewa kwa
madini kwa kubadilishana uzoefu na sherehe za Mahafali, ili waoneshe uwezo wa ndani na kupata muda wa miezi saba ambapo miezi
wakataji wa madini ya vito mahiri bidhaa zao. wakufunzi wenye sifa za kimataifa; sita ni nadharia (darasani) na mwezi
duniani. Kwa upande wake, Kamishna Wizara ilipeleka watumishi watatu mmoja ni mafunzo kwa vitendo.
Kwa wale wafanyabiashara wa wa Madini Tanzania, Mhandisi nje ya nchi kujifunza masomo ya Wanafunzi hawa wanafadhiliwa
madini ya vito, mlioajiri wataalam Benjamin Mchwampaka, akitoa vito na usonara kwa lengo la kuwa na Wizara ya Nishati na Madini
wa kigen, natoa rai muendelee historia ya TGC, alisema kuwa, wakufunzi katika Kituo hicho. pamoja na Kamati ya Maonesho ya
kuwahimiza watoe mafunzo kwa Wizara ya Nishati na Madini iliamua Watumishi hao walikwishahitimu Madini ya Vito ya Arusha (Arusha
watanzania wanaofanya nao kazi, kuwekeza katika Kituo hicho mafunzo yao na tayari wamesharipoti Gem Fair) chini ya Mfuko wa
ili kuhawilisha utaalam huu adimu, kwa malengo ya kutoa mafunzo kituoni. Kuwaendeleza Wanawake.

Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,


Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (mwenye koti la mauamaua),
Wahitimu wa mafunzo ya ukataji na ungarishaji wa madini ya vito akijumuika pamoja na wahitimu wa Kituo cha Jemolojia Tanzania
katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), wakiwa darasani. (TGC) kucheza muziki.
NewsBulletin 5
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Mei 26 - June 1, 2017

MAHAFALI YA NNE TGC YAFANA

Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Nne ya Mafunzo ya uongezaji


thamani madini ya vito nchini, Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (mwenye koti la
Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Benjamin Mchwampaka, mauamaua walioketi) na Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi
akisoma historia ya Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), kwa Mgeni Benjamin Mchwampaka (kulia kwake) wakiwa katika picha ya
Rasmi (hayupo pichani). pamoja na wahitimu.

Mwanafunzi bora, Happiness Ernest, akipokea zawadi yake kutoka Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Benjamin Mchwampaka
kwa Mgeni rasmi. (kushoto), akimkabidhi Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara
ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo zawadi
maalum, iliyoandaliwa na wahitimu katika sherehe za Mahafali ya
Nne ya Kituo cha Jemolojia Tanzania, jijini Arusha hivi karibuni.

Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Madini na wawakilishi wa


Chama cha Wafanyabiashara ya Madini Tanzania (TAMIDA) wakiwa
katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa
Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo
Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo, akihutubia wakati wa Sherehe za (mwenye koti la mauamaua - walioketi), katika Mahafali ya Nne ya
Mahafali ya Nne ya Kituo cha Jemolojia Tanzania. Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC)
Habari za nishati/madini

6 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

MAHAFALI YA NNE TGC YAFANA

Baadhi ya wahitimu wakipokea Vyeti kutoka kwa Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana
Pallangyo katika Mahafali ya Nne ya Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), iliyofanyika jijini Arusha hivi karibuni.

Miamba mbalimbali ikiwa imeongezwa thamani kwa kukatwa kitaalam katika maumbile mbalimbali na kunakshiwa.

Wafanyakazi wa Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), wakiwa katika


Wafanyakazi wa Ofisi ya Madini, Kanda ya Kaskazini, wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara
picha ya pamoja na Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (mwenye
ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (katikati koti la mauamaua - walioketi), katika Mahafali ya Nne ya Kituo cha
walioketi), katika Mahafali ya Nne ya Kituo cha Jemolojia Tanzania Jemolojia Tanzania (TGC). Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa TAMIDA,
(TGC). Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa TAMIDA, Sam Mollel. Sam Mollel.
NewsBulletin 7
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Mei 26 - June 1, 2017

Ewura yazindua ripoti ya Sekta Ndogo ya


Petroli kwa mwaka 2016
Na. Samwel Mtuwa pamoja na kuvutia wafanyabiashara
Dodoma wa mafuta ya Petroli kutumia bandari
za Tanzania kama lango la usafirishaji

M
amlaka ya Udhibiti wa mafuta kwenda nchi za jirani.
wa Huduma za Akielezea kuhusu hali ya uingizaji
Nishati na Maji wa mafuta nchini, Ngamlagosi
(Ewura), imezindua alisema kuwa nchi imeendelea kupata
ripoti ya utendaji mafuta kwa kiasi cha kutosha kukidhi
katika sekta Ndogo ya Mafuta ya mahitaji yake.
Petroli kwa mwaka 2016 katika Alisema kuwa kiasi cha mafuta
ukumbi wa LAPF mkoani Dodoma. ya aina zote yaliyoingizwa kupitia
Akizungumza katika uzinduzi bandari ya Dar es salaam na Tanga
huo, Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, kwa ajili ya matumizi ya ndani kwa
Felix Ngamlagosi alisema kuwa mwaka 2016 kilikuwa lita bilioni 3.30
ripoti hiyo imejumuisha takwimu , tofauti na lita bilioni 3.34 za mwaka
muhimu na taarifa zenye kuhusiana 2015 ikiwa ni pungufu kwa asilimia
na uendeshaji wa biashara pamoja moja (1%).
na hali ya biashara ya mafuta nchini Alisema sababu ya kushuka
kuanzia mwezi Januari mpaka huko kuwa kulitokana na kupungua Meza kuu ikionesha Ripoti ya Sekta ndogo ya Petroli kwa mwaka
Desemba kwa mwaka 2016. kwa matumizi ya mafuta mazito ya 2016 baada ya kuzinduliwa. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa
Ngamlagosi aliongeza kuwa viwandani (Heavy Fuel Oil) kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Doto Biteko,
Kaimu Kamishna wa Nishati na Masuala ya Petroli, Mhandisi
Ewura ina matumaini kuwa asilimia 53.
Innocent Luoga, Mwenyekiti wa Bodi ya Ewura, Profesa Jamidu
taarifa zilizopo katika ripoti hiyo Kwa mujibu wa watalaam wa Kitima na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za
zitawasaidia wadau mbalimbali Sekta ya Nishati, wanasema kuwa Maji na Nishati (Ewura), Felix Ngamlagosi.
katika utendaji kazi kwenye maeneo kupungua kwa matumizi ya mafuta
yao ikiwemo maamuzi ya kisera mazito nchini ni habari njema kwa asilia katika uzalishaji . 2016 kiliongezeka kwa asilimia tano
na kimkakati ili kuhakikisha kuwa sababu kunapunguza gharama za Kwa upande wa kiasi cha mafuta (5%) ukilinganisha na mwaka 2015.
sekta hiyo muhimu inaendelea kutoa uzalishaji umeme hii na inatokana ya Petroli, Dizeli, Mafuta ya Ndege Aidha kiasi cha lita bilioni 2.19
mchango wake katika uchumi wa chi na kuongezeka kwa matumizi ya gesi na Mafuta ya taa kwa mwaka wa kiliagizwa kwenda nchi za jirani kwa
mwaka 2016 ikilinganishwa na lita
bilioni 1.83 za mwaka 2015 ambapo
ni sawa na ongezeko la asilimia 20.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo
inaonesha kuwa kwa ujumla, mafuta
yaliyoagizwa kwa ajili ya matumizi ya
ndani ni asilimia 65 ya mafuta yote
yaliyoingia nchini wakati asilimia 35
yalikuwa ni mafuta yaliyoenda nchi
za jirani.
Ilielezwa kuwa ongezeko la
asilimia 20 la mafuta yaliyoenda nchi
jirani limetokana na nchi jirani kuwa
na imani na mifumo ya kudhibiti
ubora na uchakachuaji wa mafuta na
kuwa na kuwa na mfumo mzuri wa
uagizaji wa mafuta wa pamoja (BPS).
Sambamba na uzinduzi huo
Ewura ilitunuku vyeti na tuzo kwa
baadhi ya watoa huduma ya Nishati
ya Petroli katika mazingira ya vijijini
kama sehemu ya motisha ambao
utendaji wao katika tasnia ya biashara
ya mafuta nchini kwa mwaka
2016 ulionekana kuwa mzuri zaidi.
Ripoti ilizinduliwa Mei 19,2017 mjini
Dodoma.
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Doto Biteko, Kaimu
Kamishna wa Nishati na Masuala ya Petroli, Mhandisi Innocent Luoga, Mwenyekiti wa Bodi ya Ewura,
Ripoti kamili ya Sekta Ndogo ya
Profesa Jamidu Kitima na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji Petroli kwa mwaka 2016 inapatikana
(Ewura), Felix Ngamlagosi wakishuhudia uzinduzi wa Ripoti ya Sekta ndogo ya Petroli kwa mwaka katika TOVUTI ya Ewura, www.
2016. Ripoti hiyo ilizinduliwa mjini Dodoma tarehe 19 Mei, 2017. ewura.go.tz.
Habari za nishati/madini

8 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

TUTAIFUNGA MIGODI YOTE INAYOPATA


AJALI ZA KIZEMBE: KAMISHNA WA MADINI
Na Veronica Simba kuzingatia usalama na pia utunzaji

S
wa mazingira.
erikali imesema itaifunga Akizungumzia kuhusu takwimu
migodi yote ya madini za ajali migodini, Mhandisi
ambayo itapata ajali Mchwampaka alifafanua kuwa,
kutokana na uzembe taarifa zinaonesha kwamba kuanzia
na haitafunguliwa hadi mwaka 2008 hadi mwezi Mei
hapo Mkaguzi Mkuu wa Migodi mwaka 2017, ajali zilizotokea katika
atakapojiridhisha kuwa hali ya Migodi yenye leseni ya wachimbaji
usalama imeboreshwa na hatua wadogo wa madini, nchini ni 125
stahiki za kisheria zimechukuliwa kwa na wachimbaji waliopoteza maisha
Meneja wa Mgodi au Msimamizi kutokana na ajali hizo ni 213.
aliyehusika na uzembe huo. Aidha, aliongeza kuwa, ajali
Hayo yalisemwa hivi karibuni zilizotokea katika maeneo ya
na Kamishna wa Madini Tanzania, wachimbaji wadogo wasiokuwa na
Mhandisi Benjamin Mchwampaka leseni hususan maeneo ya mifumuko
wakati akifungua mafunzo maalum ya uchimbaji madini, katika kipindi
kwa wachimbaji wadogo wa madini hicho, ni 56 na kusababisha vifo vya
nchini, kwa lengo la kuwakumbusha wachimbaji 140.
kuzingatia kanuni zote za usalama Kwa mwaka huu pekee, hadi
mahali pa kazi ili kuepusha ajali kufikia tarehe 19 Mei, jumla ya
za mara kwa mara zinazotokea na ajali zilizotokea ni 11 na jumla ya
Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Benjamin Mchwampaka, wachimbaji waliofariki ni 26.
kusababisha vifo.
akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini wa eneo la Kamishna Mchwampaka alisema
Mafunzo hayo ambayo Mererani, wilayani Simanjiro (hawapo pichani), wakati wa mafunzo
yameandaliwa na Wizara ya kuwa, kutokana na takwimu hizo
maalum kuhusu usalama migodini hivi karibuni.
Nishati na Madini, kupitia Idara za ajali na vifo, Serikali imeazimia
yake ya Madini, yalifunguliwa nchini umegubikwa na ajali nyingi maisha na pia gharama kubwa wakati kuhakikisha hali hiyo inadhibitiwa
rasmi Mererani, wilayani ambazo zinaweza kuepukika wa shughuli za uokoaji. na usalama unaimarishwa katika
Simanjiro, Mkoa wa Manyara, endapo tahadhari za kiusalama Kamishna Mchwampaka alisema migodi yote ya wachimbaji wadogo
ambapo Kamishna Mchwampaka zitachukuliwa. kuwa, Serikali imelazimika kuchukua nchini. Alifafanua kuwa, Wizara
aliwaambia wachimbaji wadogo Ajali zinazotokea katika Migodi hatua za makusudi kuhakikisha kuwa imepanga kutoa mafunzo husika
wa madini wa eneo hilo kuwa, kwa mingi ya wachimbaji wadogo hapa uchimbaji madini nchini, unafanyika nchi nzima kupitia Kanda zote 10 za
sasa uchimbaji mdogo wa madini nchini, zimesababisha vifo, vilema vya kwa mujibu wa Sheria ya Madini kwa >>InaendeleaUk. 9

Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Benjamin Mchwampaka


(wa pili kutoka kulia), akijibu maswali mbalimbali kutoka kwa
Wachimbaji Wadogo wa Madini wa eneo la Mererani, wakati wa
mafunzo maalum kuhusu usalama migodini yaliyofanyika hivi Mkaguzi Mkuu wa Migodi Tanzania, Mhandisi Ally Samaje,
karibuni. Wengine pichani (kutoka kulia) ni Mkaguzi Mkuu wa Migodi akiwasilisha mada kuhusu Usalama, Afya na Utunzaji wa Mazingira
Tanzania, Mhandisi Ally Samaje, Kamishna Msaidizi wa Madini katika Migodi ya Wachimbaji Wadogo wa Madini, wakati wa
Kanda ya Kaskazini, Adam Juma na Fundi Sanifu Migodi kutoka mafunzo maalum kwa wachimbaji wadogo wa eneo la Mererani
Ofisi ya Madini Dar es Salaam, Stanslaus Basheka. yaliyozinduliwa rasmi hivi karibuni.
NewsBulletin 9
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Mei 26 - June 1, 2017

TUTAIFUNGA MIGODI YOTE INAYOPATA


AJALI ZA KIZEMBE: KAMISHNA WA MADINI
>>Inatoka Uk. 8 na msimamizi atakayewajibika
Madini na kwamba mafunzo hayo na kusimamia masuala husika na
yatasimamiwa na Maafisa Madini kwamba, ajali itakapotokea, Meneja
wa Kanda husika. au Msimamizi atakuwa wa kwanza
Akielezea zaidi kuhusu mazingira kuwajibika.
ya ajali zinazotokea, alisema kuwa Aliwataka Maafisa Madini wa
uchambuzi wa takwimu unaonesha Kanda nchi nzima, kusimamia
kuwa vyanzo vikubwa vya ajali hizo utekelezaji wa maagizo hayo ambapo
ni kuangukiwa na vifusi kutokana na Msimamizi Mkuu wa suala hilo
kukatika kwa ngema, kulipukiwa na ni Mkaguzi Mkuu wa Migodi
baruti, kukosa hewa na kuteleza na Tanzania.
kuangukia mashimoni. Hivyo, ni Aidha, Kamishna Mchwampaka
dhahiri kuwa ajali nyingi zingeweza alieleza kuwa, tayari amemwelekeza
kuepukika kama tahadhari za Mkaguzi Mkuu wa Migodi,
kiusalama zingechukuliwa. Mhandisi Ally Samaje, ambaye kwa Ofisa wa Sheria kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Hadija
Kamishna Mchwampaka upande wake ametoa maelekezo Ramadhan, akiwasilisha mada kuhusu Ufafanuzi wa Sera ya Madini
alitumia fursa hiyo kutoa maagizo maalum kwa wakaguzi wote wa ya Mwaka 2009, Ufafanuzi wa Sheria ya Madini ya Mwaka 2010
kwa wamiliki wote wa migodi Migodi nchini, kuhakikisha kuwa na Kanuni zake za Mwaka 2010, wakati wa mafunzo maalum kwa
nchini, kuhakikisha wanateua Migodi yote nchini inakaguliwa wachimbaji wadogo wa madini wa eneo la Mererani hivi karibuni.
mameneja wa migodi kama ipasavyo na ile itakayobainika kuwa
Sheria ya Madini ya mwaka 2010 haina usalama, itafungwa mara iwapo kila mmoja kwenye Mgodi, ya Mwaka 2009, Ufafanuzi wa
inavyoelekeza ambao alieleza kuwa moja hadi pale marekebisho stahiki kuanzia Meneja hadi mfanyakazi Sheria ya Madini ya Mwaka 2010
mojawapo ya majukumu yao ya yatakapofanyika. wa chini, atajenga utamaduni na Kanuni zake za Mwaka 2010,
msingi ni kusimamia usalama, Kwa upande wake, Mhandisi wa kuheshimu sheria, kanuni na Kanuni za Afya na Usalama
afya za wachimbaji na uhifadhi wa Samaje, akitoa mada inayohusu miongozo mbalimbali inayotolewa. Migodini, Matumizi salama
mazingira migodini. usalama migodini kwa wachimbaji Mada nyingine zilizotolewa na utunzaji wa baruti pamoja
Alielekeza kuwa, Meneja hao wa Mererani, alibainisha kuwa, katika mafunzo hayo ni pamoja na utunzaji wa mazingira kwa
anapokuwa hayupo, lazima kuwe inawezekana kuweka Migodi salama na Ufafanuzi wa Sera ya Madini wachimbaji wadogo na wa kati.

Baadhi ya wachimbaji wadogo wa madini, eneo la Mererani,


Sehemu ya umati wa wachimbaji wadogo wa madini wa eneo la wilayani Manyara, wakiuliza maswali kwa watoa mada (hawapo
Mererani, wilayani Simanjiro, wakifuatilia mafunzo maalum kuhusu pichani), wakati wa mafunzo maalum kuhusu usalama migodini,
usalama migodini yaliyotolewa hivi karibuni wilayani humo. yaliyozinduliwa rasmi kitaifa wilayani humo hivi karibuni.
Habari za nishati/madini

10 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

Na. Samwel Mtuwa


Dodoma Ewura YAFANYA UKAGUZI WA UBORA
WA MAFUTA YA PETROLI NCHINI
M
amlaka ya
Udhibiti wa
Huduma za
52 sawa na asilimia 14.6 hazikukidhi moja ya kipaumbele ni kuhakikisha
Nishati na
viwango vilivyowekwa na Shirika la usalama na utunzaji wa mazingira
Maji (Ewura)
Viwango la Taifa (TBS). katika biashara ya mafuta unakuwa
katika kipindi cha mwaka 2016
Ngamlagosi aliongeza kuwa , madhubuti zaidi kwa kusimamia
ilifanya ukaguzi ili kubaini ubora
wa mafuta yanayouzwa nchini katika ukaguzi huo wafanyabiashara ubora wa miundombinu ya biashara
ambapo jumla ya sampuli 354 ambao walikutwa na mafuta ambayo ya mafuta kwa kuhakikisha inajengwa
zilichukuliwa kutoka kwenye hayakukidhi viwango vya ubora na kutunzwa kulingana na sheria na
miundombinu mbalimbali walipewa maelekezo ya kuhakikisha kanuni stahiki .
ikiwemo vituo vya mafuta , wanazingatia kanuni na sheria za Kipaumbele kingine ni
maghala ya kuhifadhia mafuta na nchi. Kuhakikisha kuwa mafuta
magari ya kusafirishia mafuta na Aidha katika kipindi hicho cha yanaagizwa na kuuzwa nchini kwa bei
kuzipeleka katika maabara kwa mwaka 2016 Ewura kwa kushirikiana inayoendana na bei za mafuta katika
ajili ya kubaini ubora wake. na Mamlaka ya Mapato nchini soko la dunia pamoja na kuendelea
Akizungumza na MEM (TRA) ilidhibiti na kuzuia uingizaji kuwepo kwa mazingira mazuri ya Mkurugenzi Mkuu wa Ewura,
Bulletin katika uzinduzi wa ripoti holela wa vilainishi vya mitambo kwa kuwezesha ushindani wa haki katika Felix Ngamlagosi
ya utendaji wa sekta Ndogo kuhakikisha kuwa wafanyabiashara sekta ya mafuta na kuhakikisha
ya Mafuta kwa mwaka 2016 wote wanaomba leseni ya uagizaji wadau wote wanaendesha biashara wakati wote na kwa nchi nzima.
iliyozinduliwa Mei 19, 2017 na wa jumla kutoka Ewura wakifuata zao katika misingi linganifu. Sambamba na hayo Ewura inatoa
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge sheria na kanuni ya mwaka 2014 ya Jambo lingine ni kuhakikisha kuwa kipaumbele katika kusimamia ubora
ya kudumu ya Nishati na Madini uendeshaji wa biashara ya vilainishi miongozo ya ujenzi wa vituo vya wa mafuta nchini pamoja na kuzuia
Dotto Biteko kwa niaba ya Naibu vya mitambo kama inavyosema.The mafuta vya gharama nafuu maeneo
ukwepaji kodi katika sekta ya mafuta
Waziri wa Nishati na Madini hivi Petroleum (Lubricants Operations) ya vijijini inasambazwa na kueleweka
karibuni katika ukumbi wa LAPF Rules, 2014 kwa wadau ili kuwezesha uwekezaji , pamoja na kuhakikisha bidhaa ya
mkoani Dodoma, Mkurugenzi Akielezea juu ya mikakati ya katika maeneo ya vijijini, lakini pia gesi ya kupikia majumbani (LPG) na
Mkuu wa Ewura, Felix kusimamia vipaumbele vya biashara kusimamia upatikanaji wa mafuta mafuta mazito ya mitambo (HFO)
Ngamlagosi alisema kuwa kati ya ya sekta ya mafuta nchini kwa mwaka yenye ubora unaokidhi viwango na vinaingizwa kwenye mfumo wa
sampuli hizo , kiasi cha sampuli wa 2017 , Ngamlagosi alisema kuwa kwa bei inayo akisi gharama halisi kwa uagizaji wa pamoja.

Je UNAJUA?
HABARI ZA
NISHATI NA
MADINI PIA
ZINAPATIKANA
KUPITIA

TOVUTI; https://mem.go.tz
Facebook; Nishati Na Madini
Twitter; @nishatiMadini
YouTube; Wizara ya Nishati na Madini

KWA PAMOJA, TUENDELEZE SEKTA ZA NISHATI NA MADINI.


NewsBulletin 11
Habari za nishati/madini

MAKALA
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

Viwanda kutokana na mchango wa

Nishati na Madini ilivyopanga


Sekta ya Nishati.
Vivyo hivyo, kutokana na Tanzania
kuwa nchi yenye hazina ya madini

vipaumbele mwaka 2016/17 mbalimbali yakiwemo ya madini


adimu, madini ya vito na metali
mikakati ya serikali ni kuhakikisha
kwamba rasilimali hiyo inalinufaisha
Taifa na watu wake kutokana na
Na Asteria Muhozya kutekelezwa kwa mikakati na
mipango inayohusu kuiendeleza sekta

I
li Taifa liendelee pamoja na husika.
mambo mengine, inahitajika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi
nishati ya uhakika, na ili kufikia ya Mwaka 2015-2020 inaainisha
uchumi wa Kati, bila nishati ya masuala kadhaa ya kutekelezwa katika
umeme ni changamoto kufikia sekta ya madini ikiwemo, kuielekeza
lengo hilo kutokana na umuhimu Serikali kuweka na kusimamia
wake kiuchumi. mfumo thabiti wa kukagua shughuli
Vivyo hivyo, mchango wa Sekta za migodi, kukusanya takwimu
ya Madini ni muhimu kutokana za madini na kufuatilia maduhuli
kuchangia kwake katika ukuaji wa yatokanayo na madini kwa malengo
uchumi na kuwezesha kupanua soko mapana ya kuongeza mapato ya
Maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Serikali. Pia, kuweka na kutekeleza
la ajira. umeme wa Kinyerezi II wa Megawati 240.
Kwa kuzingatia umuhimu wa mikakati madhubuti ya kuvutia mitaji
sekta husika kwa maendeleo, na kwa ya uwekezaji katika Sekta za Madini
kuzingatia mwongozo wa Dira ya hususan kwenye Madini adimu ya
Nishati na Madini ili zichangie katika kutoka megawati 1,501 mwaka (Rare Earth Elements- REE).
Maendeleo ya Taifa 2025, Mpango
Pato la Taifa, ukuaji wa uchumi na 2015 hadi megawati 4,915 mwaka Aidha, Mpango wa Maendeleo
wa Maendeleo wa Taifa 2016/17-
pia kufikia malengo ya miongozo 2020, ilihali Ilani ya uchaguzi ya wa Taifa wa Miaka Mitano
2020/21 na Ilani ya Uchaguzi ya
iliyoainishwa hapo juu. CCM inaielekeza Serikali kuongeza 2016/17-2020/21 unaitaja Sekta ya
Chama Cha Mapinduzi 2015-2020,
Nikianza na sekta ya nishati, kiwango kikubwa cha uzalishaji wa Madini kuwa miongoni mwa Sekta
ikiwemo mwongozo wa Bajeti
Mpango wa Maendeleo wa Taifa nishati ili kuendelea kukuza sekta zitakazowezesha kujenga uchumi
ya Serikali kwa mwaka 2016/17,
wa miaka mitano umeainisha hiyo na kuongeza mchango wake wa Viwanda kwa lengo la kuchochea
Wizara ya Nishati na Madini iliweka
kwenye Pato la Taifa. mageuzi kiuchumi.
maeneo ya kipaumbele kwa sekta za kuongeza uzalishaji wa Umeme
Maeneo ya kipaumbele kwa Kwa kuzingatia miongozo hiyo,
Sekta ya Nishati yaliyoainishwa katika Bajeti ya Wizara kwa mwaka
katika utekelezaji wa Bajeti kwa 2016/17, Wizara ilipanga vipaumbele
mwaka 2016/17 ni pamoja na vifuatavyo; Kuimarisha ukusanyaji
kuimarisha uzalishaji, usafirishaji na wa Mapato ya Serikali yatokanayo na
kuongeza kasi ya usambazaji umeme rasilimali za madini kwa kuziwesha
nchini kwa maendeleo ya Taifa; ofisi za Madini za Kanda, ofisi za
Kuendeleza nishati jadidifu kama Afisa Madini Wakazi pamoja na
vile upepo, maporomoko madogo Kitengo cha Leseni kilichopo Makao
ya maji, jotoardhi na tungamotaka; Makuu ya Wizara.
Kuwezesha uanzishwaji wa mtandao Kuendeleza wachimbaji wadogo
wa usambazaji wa gesi asilia kwenye na wa kati wa madini, kuhamasisha
viwanda mbalimbali na matumizi ya shughuli za uongezaji thamani madini,
majumbani pamoja na uendelezaji kuimarisha ukaguzi wa usalama, afya,
Madini ya Tanzanite yanayopatikana wa mradi wa kusindika gesi asilia utunzaji wa mazingira na uzalishaji
Tanzania pekee duniani kote. (Liquefied Natural Gas). wa madini katika migodi midogo,
Maeneo mengine ni kuvutia ya kati na mikubwa na kuendelea
uwekezaji katika Sekta ya Nishati, kuhamasisha uwekezaji katika sekta ya
hususan kwenye uzalishaji wa madini kwenye miradi ya kimkakati.
umeme na katika utafiti wa mafuta na Aidha, maeneo mengine
gesi asilia; kuwezesha Taasisi zilizopo yaliyoainishwa ni pamoja na
chini ya Sekta ya Nishati katika kuwajengea uwezo Watumishi wa
kutekeleza majukumu ya miradi wizara katika fani za umeme, mafuta,
yake na kupeleka Umeme Vijijini ili gesi asilia, madini na uwezeshaji,
kuchangia katika ukuaji wa uchumi kusimamia, kufuatilia na kuboresha
na vijijini na hatimaye wa nchi kwa Sera, Sheria, Mikakati na miongozo
ujumla. mbalimbali ili kuboresha ufanisi na tija
Kutokana na vipaumbele hivyo, katika sekta za nishati na madini.
ni wazi kwamba utekelezaji wake Kwa kifupi tu hivi ndivyo namna
unawezesha na kuchangia katika Wizara ilivyopanga vipaumbele vyake
Tanzania tuitakayo ya kuwa na katika utekelezaji wa bajeti yake kwa
umeme mwingi, wa uhakika na mwaka 2016/17. Fuatilia makala ijayo
Tanzania ya viwanda kama adhma inayoeleza namna miradi na mikakati
Wanunuzi wa Madini wakipima ubora wa Madini ya Tanzanite ya Serikali ya Awamu ya Tano ya kipaumbele ilivyotekelezwa katika
wakati wa Maonesho ya 6 Kimataifa ya Madini ya Vito.
ilivyodhamiria kuifanya Tanzania ya sekta za nishati na madini.
Habari za nishati/madini

12 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

TAARIFA YA KAMATI MAALUM ILIYOUNDWA NA RAIS WA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. JOHN
POMBE MAGUFULI KUCHUNGUZA MCHANGA ULIO KATIKA
MAKONTENA YENYE MCHANGA WA MADINI (MAKINIKIA)
YALIYOPO KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI TANZANIA.

Utangulizi na kudhibiti uzalishaji na usafirishaji wa makinikia.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe
Joseph Magufuli aliteua Kamati maalum ya wajumbe wanane Matokeo ya Uchunguzi
kuchunguza aina na viwango vya madini yaliyomo kwenye mchanga Matokeo makuu ya uchunguzi huu ni yafuatayo:
wa madini uliomo ndani ya makontena yaliyozuiliwa na Serikali
kusafirishwa nje ya nchi. Uteuzi huo ulifanyika tarehe 29/03/2017. 1. Dhahabu
Wajumbe wa Kamati hiyo wana taaluma katika fani za jiolojia, kemia, Kamati imebaini kuwepo kwa viwango vingi vya juu vya dhahabu
uhandisi kemikali na uhandisi uchenjuaji madini. ndani ya makinikia yaliyofanyiwa uchunguzi. Viwango hivyo ni kati
Chimbuko la kufanyika kwa uchunguzi huu ni kutokana na ukweli ya 671 g/t hadi 2375 g/t, sawa na wastani wa 1400 g/t. Wastani huu
kuwa viwango vya madini yaliyopo kwenye makinikia havijulikani, ni sawa na 28 kg za dhababu kwenye kontena moja lenye tani 20 za
na hata mikataba ya uchenjuaji makinikia haipo wazi. Hali hii inaleta makinikia. Hivyo, kwenye makontena 277 ya makinikia yaliyozuiliwa
hisia kuwa nchi inaibiwa na hainufaiki na uchimbaji wa madini. Bandari ya Dar es Salaam na Bandari Kavu yatakuwa na wastani
Katika kutekeleza uchunguzi huu, Kamati iliongozwa na Hadidu za wa tani 7.8 za dhahabu yenye thamani ya TZS bilioni 676 (USD
Rejea zilizoridhiwa na Serikali ambazo ni: 307,292,720). Aidha, kwa kutumia kiwango cha juu kilichopimwa
kwenye kontena moja lenye shehena ya tani 20 za makinikia (47.5
1. Kufanya uchunguzi kwenye Makinikia yaliyopo Bandari ya Dar kg), kiasi cha dhahabu katika makontena 277 kitakuwa 13,157.5 kg
es Salaam, Bandari Kavu na migodini kwa kupekua na kubaini ambazo thamani yake ni TZS 1,146,860,330,000 (USD 521,300,150).
vitu vilivyomo ndani pamoja na kuchukua sampuli za makinikia ili Hivyo, thamani ya dhahabu katika makontena 277 yaliyozuiliwa
kuzifanyia uchunguzi wa kimaabara. bandarini ni kati ya TZS bilioni 676 na bilioni 1,147.
Taarifa tulizopata kutoka kwa wazalishaji pamoja na Wakala wa
2. Kufanya uchunguzi wa kimaabara na kubainisha aina, kiasi Serikali wa Ukaguzi Madini (TMAA) zinaonesha kuwa makinikia
na viwango vya madini yatakayoonekana katika makinikia kisha yana wastani wa takriban 200 g/t. Kiwango hiki ni sawa na kilo 4 za
kubainisha thamani ya madini hayo. dhababu kwenye kila kontena. Hivyo, makontena 277 ya makinikia
3. Kutumia mitambo ya scanners iliyopo katika Bandari ya Dar yaliyozuiliwa Bandari ya Dar es Salaam na Bandari Kavu yatakuwa
es Salaam kwa ajili ya kujiridhisha na aina ya shehena zilizomo na tani 1.1 za dhahabu. Kiasi hiki cha dhahabu kina thamami ya
kwenye makontena yenye mchanga wa madini; hii ni pamoja na TZS bilioni 97.5 (USD 44,320,000). Thamani hii ni ndogo sana
kubainisha uwezo wa scanners hizo kuona vitu vyenye ukubwa na ukilinganisha na thamani halisi iliyopatikana katika uchunguzi huu
maumbile tofauti vilivyomo ndani ya makontena yenye makinikia. ya kati ya TZS bilioni 676 na bilioni 1,147. Kutokana na tofauti hii
4. Kuchunguza utendaji wa Wakala wa Serikali wa Ukaguzi kubwa kati ya viwango vya dhahabu vilivyopo kwenye taarifa za
Madini (TMAA) wa kuchukua sampuli za makinikia, uchunguzi wa usafirishaji na vile ambavyo Kamati imevibaini, ni dhahiri kuwa Taifa
madini kwenye maabara na utaratibu wa ufungaji wa utepe wa linaibiwa sana kupitia usafirishaji wa makinikia nje ya nchi.
udhibiti (seal) kwenye makontena kabla ya kusafirishwa nje ya nchi. 2. Pamoja na viwango vikubwa vya dhahabu kwenye makinikia,
5. Kamati pale itakapoona inafaa inaweza kuongeza Hadidu za Kamati ilipima na kupata viwango vikubwa vya madini ya copper
Rejea katika kuboresha utekelezaji wa majukumu yake. Aidha, (kiwango cha 15.09% hadi 33.78%, wastani wa 26%), silver (kiwango
Kamati itakuwa na mamlaka ya kumwita mtu yeyote kwa lengo la cha 202.7 g/t hadi 351 g/t, wastani wa 305 g/t), sulfur (kiwango cha
kupata taarifa. 16.7% hadi 50.8%, wastani wa 39.0%) na iron (kiwango cha 13.6%
hadi 30.6%, wastani wa 27%).
Utekelezaji wa Majukumu
Ili kutekeleza uchunguzi huu, Kamati ilifanya yafuatayo: Copper
1. Kuandaa mpango kazi. Wastani wa kiwango cha copper kilichopatikana ni tani 5.2 na kiwango
2. Kukusanya nyaraka na taarifa mbalimbali kuhusiana na cha juu kilichopimwa ni tani 6.75 kwenye kila kontena lenye tani 20
makontena yenye makinikia yaliyozuiliwa na Serikali kusafirishwa za makinikia. Hivyo, kiasi cha wastani wa copper kwenye makontena
nje ya nchi. 277 ni tani 1,440.4 ambazo thamani yake ni TZS bilioni
3. Kutembelea maeneo yote yenye makontena yenye shehena za 17.9 (USD 8,138,260) na kiasi cha juu ni tani 1,871.4 ambazo zina
makinikia ili kuyachunguza na kuchukua sampuli zake. Maeneo thamani ya TZS bilioni 23.3 (USD 10,573,478). Hivyo, thamani ya
hayo ni Bandari ya Dar es Salaam, Bandari Kavu ZAM CARGO na copper katika makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS
migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi. bilioni 17.9 na bilioni 23.3.
4. Kutathmini uwezo wa scanners wa kuonesha makinikia yaliyomo Nyaraka za usafirishaji ambazo Kamati ilizipata kutoka bandarini
ndani ya makontena pamoja na vitu vingine ambavyo vinaweza zinaonesha kuwa makinikia yana wastani wa kiwango cha copper cha
kuwa ndani ya makinikia. 20%. Kiwango hiki ni sawa na tani 4 za copper kwenye kila kontena;
5. Kufanya uchunguzi wa kimaabara wa sampuli za makinikia hivyo makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini yatakuwa na tani
na kubaini aina, viwango na kiasi cha madini yaliyomo kwenye 1,108 za copper. Kiasi hiki cha copper kina thamami ya USD 6,204,800
makinikia. sawa na TZS bilioni 13.6. Kwa takwimu hizi, kwa upande wa copper
6. Kukokotoa thamani ya madini yaliyopimwa kwenye makinikia nako kuna upotevu mkubwa wa mapato ya taifa ukizingatia kuwa
kwa kutumia viwango vilivyopatikana kutokana na uchunguzi wa usafirishaji wa makinikia nje ya nchi umefanyika kwa muda mrefu.
kimaabara pamoja na thamani ya madini hayo kwenye soko la
dunia. Silver
7. Kuchunguza utendaji wa Wakala wa Serikali (TMAA) wa kukagua Wastani wa kiwango cha silver kilichopimwa ni 6.1 kg na kiwango
NewsBulletin 13
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Mei 26 - June 1, 2017

TAARIFA YA KAMATI MAALUM ILIYOUNDWA NA RAIS WA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. JOHN
POMBE MAGUFULI KUCHUNGUZA MCHANGA ULIO KATIKA
MAKONTENA YENYE MCHANGA WA MADINI (MAKINIKIA)
YALIYOPO KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI TANZANIA.

cha juu ni 7 kg kwa kontena lenye tani 20 za makinikia. Hivyo, kiasi 1.5 (USD 689,912). Hivyo, thamani ya rhodium katika makontena 277
cha wastani wa silver kwenye makontena 277 ni 1,689 kg (tani 1.7) yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni 0.7 na bilioni 1.5.
ambazo thamani yake ni TZS bilioni 2.1 (USD 937,446); kiasi cha
juu ni 1,939 kg (tani 1.9) ambazo thamani yake ni TZS bilioni 2.4 Ytterbium
(USD 1,075,757). Hivyo, thamani ya silver katika makontena 277 Ytterbium ilipatikana kuwa na wastani wa 3.7 kg na kiwango cha juu
yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni 2.1 na bilioni 2.4. kilikuwa 4.9 kg kwa kila kontena lenye tani 20 za makinikia. Hivyo,
Nyaraka za usafirishaji ambazo Kamati ilizipata kutoka bandarini makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini yatakuwa na wastani wa
zinaonesha kuwa makinikia yana silver kwa wastani wa takriban 150 1024.9 kg za ytterbium, ambazo thamani yake ni TZS bilioni 12.4 (USD
g/t. Kiwango hiki kinamaanisha kuwa kuna 3 kg za silver kwenye 5,636,950); wakati kiasi cha juu ni 1,357.3 kg ambazo thamani yake ni
kila kontena la tani 20 za makinikia. Kwenye makontena 277 TZS bilioni 16.4 (USD 7,465,150). Hivyo, thamani ya ytterbium katika
yaliyozuiliwa bandarini, kiasi cha silver kilichopo kwenye nyaraka makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni 12.4 na
za usafirishaji ni 831 kg. Kiasi hiki cha silver kina thamami ya USD bilioni 16.4.
461,039 sawa na TZS bilioni 1.0. Kwa takwimu hizi, kwa upande wa
silver nako kuna upotevu mkubwa wa mapato ya taifa. Beryllium
Wastani wa kiasi cha beryllium kilichopimwa ni 19.4 kg na kiasi cha
Sulfur juu kilikuwa 26.9 kg kwa kila kontena lenye tani 20 za makinikia.
Wastani wa sulfur uliopimwa ni tani 7.8 wakati kiwango cha juu Hivyo, wastani wa beryllium kwenye makontena 277 ni tani 5.4
kilikuwa tani 10.2, kwa kontena lenye tani 20 za makinikia. Hivyo, zenye thamani ya TZS bilioni 6.0 (USD 2,719,143); na kiwango cha
makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini, yatakuwa na wastani wa juu kilichopimwa katika makontena 277 ni tani 7.5 ambazo thamani
tani 2,161 za sulfur, ambazo thamani yake ni TZS bilioni 1.4 (USD yake ni TZS bilioni 8.3 (USD 3,770,358). Hivyo, thamani ya beryllium
648,130); na kiasi cha juu ni tani 2,825.4 ambazo zina thamani ya TZS katika makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni
bilioni 1.9 (USD 844,296). Hivyo, thamani ya sulfur katika makontena 6.0 na bilioni 8.3.
277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni 1.4 na bilioni 4.9.
Thamani hii ya sulfur ni kubwa ukizingatia kuwa haijawahi kutumika Tantalum
kukokotoa mrabaha katika mauzo ya makinikia. Tantalum ilipatikana kuwa na wastani wa 11.7 kg na kiwango cha juu
kilikuwa 17.3 kg kwa kila kontena lenye tani 20 za makinikia. Hivyo,
Iron makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini yatakuwa na wastani wa
Wastani wa iron uliopimwa ni tani 5.4 wakati kiwango cha juu 3240.9 kg za tantalum, ambazo thamani yake ni TZS bilioni 1.9 (USD
kilikuwa tani 6.1, kwa kontena lenye tani 20 za makinikia. Hivyo, 855,598); wakati kiasi cha juu ni 4,792 kg ambazo thamani yake ni
makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini yatakuwa na wastani wa TZS bilioni 2.8 (USD 1,265,114). Hivyo, thamani ya tantalum katika
tani 1,496 za iron, ambazo thamani yake ni TZS bilioni 2.3 (USD makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni 1.9 na
1,047,060); na kiasi cha juu ni tani 1,695 ambazo zina thamani ya TZS bilioni 2.8.
bilioni 2.6 (USD 1,186,668). Hivyo, thamani ya iron katika makontena
277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni 2.3 na bilioni 2.6. Lithium
Kama ilivyo kwa sulfur, thamani hii ya iron ni kubwa ukizingatia kuwa Wastani wa kiasi cha lithium kilichopimwa ni 21.5 kg na kiasi cha
haijawahi kutumika kukokotoa mrabaha katika mauzo ya makinikia. juu kilikuwa 29.8 kg kwa kila kontena lenye tani 20 za makinikia.
Hali hii inazidi kuonesha jinsi gani nchi yetu isivyofaidika na uuzwaji Hivyo, wastani wa lithium kwenye makontena 277 ni 5,955.5 kg
wa makinikia nje ya nchi. zenye thamani ya TZS bilioni 1.0 (USD 468,698); na kiwango cha juu
3. Uchunguzi pia umeonesha kuwepo kwa madini mkakati kilichopimwa katika makontena 277 ni 8,254.6 kg ambazo thamani
(strategic metals) ambayo kwa sasa hivi yanahitajika sana duniani yake ni TZS bilioni 1.4 (USD 649,637). Hivyo, thamani ya lithium
na yana thamani kubwa sambamba na thamani ya dhahabu. Madini katika makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni
hayo ni: iridium, rhodium, ytterbium, beryllium, tantalum na lithium. 1.0 na bilioni 1.4.
Jumla ya thamani ya aina zote za Metali Mkakati katika makontena
Iridium 277 yaliyoko bandarini ni kati ya TZS bilioni 129.5 na bilioni 261.5.
Wastani wa iridium uliopimwa ni 6.4 kg wakati kiwango cha juu ni Pamoja na kuwa na thamani kubwa, metali hizi hazikuwa zinajulikana
13.75 kg kwa kontena lenye tani 20 za makinikia. Hivyo, makontena kuwemo kwenye makinikia na hivyo hazijawahi kujumuishwa
277 yaliyozuiliwa bandarini, yatakuwa na wastani wa 1,773 kg za kwenye kukokotoa mrabaha na hivyo kuikosesha Serikali mapato
iridium, ambazo thamani yake ni TZS bilioni 108 (USD 48,876,096); makubwa kwa kipindi chote cha biashara ya makinikia.
wakati kiasi cha juu ni 3,808.8 kg ambazo thamani yake ni TZS bilioni
231.0 (USD 105,007, 238). Hivyo, thamani ya iridium katika makontena 4. Kwa ujumla thamani ya metali/madini yote katika makinikia
277 yaliyozuiliwa bandarini ni kati ya TZS bilioni 108 na bilioni 231. kwenye makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini, ni TZS bilioni
829.4 kwa kutumia viwango vya wastani na TZS bilioni 1,438.8
Rhodium kwa kutumia viwango vya juu. Kwa kuwa viwango hivi vya
Wastani wa rhodium uliopimwa ni 0.034 kg wakati kiwango cha thamani havitumiki kukadiria mapato ya Serikali, ni wazi kuwa
juu ni 0.078 kg kwa kontena lenye tani 20 za makinikia. Hivyo, kuna upotevu mkubwa sana wa mapato kwa nchi yetu.
makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini yatakuwa na wastani wa 9.4 5. Thamani zote za madini kwenye makinikia yaliyo ndani
kg za rhodium, ambazo thamani yake ni TZS bilioni 0.7 (USD 300,731); ya makontena zilizoainishwa hapo juu, zimepatikana kwa
wakati kiasi cha juu ni 21.6 kg ambazo thamani yake ni TZS bilioni kutumia uzito wa wastani wa tani 20 za makinikia kwenye
Habari za nishati/madini

14 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

TAARIFA YA KAMATI MAALUM ILIYOUNDWA NA RAIS WA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. JOHN
POMBE MAGUFULI KUCHUNGUZA MCHANGA ULIO KATIKA
MAKONTENA YENYE MCHANGA WA MADINI (MAKINIKIA)
YALIYOPO KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI TANZANIA.

kila kontena. Hata hivyo, katika kupima uzito wa makinikia 6. Serikali ijumuishe metali zote zenye thamani katika
ndani ya makontena, kuna makontena kadhaa yaliyokuwa kukokotoa mrabaha wa makinikia na mbale za madini
na uzito zaidi ya tani 20 za makinikia, kwa mfano makontena mbalimbali.
yenye namba CAIU 2461301, TCLU 0701267, MRKU 6880530
na MSKU 4280570 yalikuwa na makinikia yenye uzito wa 7. Serikali iwachukulie hatua watendaji wa TMAA na
tani 23.1; 22.9; 22.7 na 22.2, kwa mtiririko huo. Hivyo basi, Wizara Mama kutokana na kutosimamia vyema tathmini ya
ongezeko hili la uzito linaongeza thamani ya makinikia na viwango halisi vya madini/metali mbalimbali vilivyopo katika
hivyo kuongeza upotevu zaidi wa mapato ya Serikali. makinikia na mbale za madini mengine; viwango ambavyo
6. Pamoja na kuchunguza makinikia, Kamati pia ilichunguza hutumika katika kukokotoa mrabaha.
shehena ya mbale za copper ndani ya makontena matano (5)
yaliyozuiliwa bandarini. Sampuli za mbale hizo zilipatikana 8. Serikali ifanye uchunguzi wa kushtukiza kwa kadri
kuwa na viwango vya dhahabu hadi kufikia 38.3 g/t, viwango itakavyowezekana katika udhibiti wa uzalishaji na usafirishaji
ambavyo havikuoneshwa kwenye ripoti ya upimaji wa wa madini nje ya nchi ili kujiridhisha kuwa taratibu
kimaabara wa TMAA, na hivyo kutotumika katika kukokotoa zilizowekwa kisheria zinatumika ipasavyo.
malipo ya mrabaha Serikalini.
7. Uchunguzi wa Kamati kuhusu utendaji wa Wakala wa Serikali 9. Uchunguzi zaidi ufanywe na wataalam wa mionzi kwenye
wa Ukaguzi Madini (TMAA) umebaini kuwa Wakala haufungi scanner zinazotumika bandarini ili kubaini aina au mfumo
utepe wa udhibiti mara baada ya kuchukua sampuli kwenye sahihi wa scanner unaofaa katika kuchunguza mizigo yenye
makontena. Ufungaji wa utepe wa udhibiti hufanyika baada tabia (properties) kama za makinikia na mbale za madini
ya siku kadhaa katika hatua za mwisho za usafirishaji wa mbalimbali.
makontena. Hali hii inatoa mianya ya kufanyika udanganyifu
wa kiasi, viwango na thamani ya makinikia baada ya uchukuzi SHUKRANI
wa sampuli. Kwanza kabisa, Kamati kwa heshma kubwa inapenda kutoa shukrani
8. Kamati pia ilichunguza uwezo wa scanner inayotumika kwako wewe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
bandarini kukagua vilivyomo ndani ya makontena. Katika John Pombe Joseph Magufuli, kwa kuwa na imani nasi na kututeua
uchunguzi huu, ilibainika kuwa scanner hiyo haina uwezo wa
kutekeleza jukumu hili muhimu la kuchunguza aina na viwango
kuonesha vitu vilivyomo ndani ya makinikia bali inaonesha
mbalimbali vya madini katika makinikia ili kuweza kuondokana
umbo tu la shehena ya makinikia.
na upotevu mkubwa wa pato la taifa kupitia biashara ya makinikia
yanayosafirishwa nje ya nchi. Ni matumaini yetu kuwa matokeo ya
Mapendekezo
uchunguzi huu yatasaidia Serikali kupitia sekta ya madini katika
Kutokana na matokeo ya uchunguzi huu yanayoonesha upotevu
mkubwa wa mapato ya Serikali kupitia usafirishaji wa makinikia kuchangia pato la taifa na kukuza uchumi wa nchi yetu.
nje ya nchi, ni muhimu Serikali kuchukua hatua zifuatazo haraka Kamati pia inatoa shukrani za dhati kwa Katibu Mkuu Kiongozi na
iwezekanavyo: wasaidizi wake wote kwa misaada na ushirikiano wao uliowezesha
Kamati kutekeleza majukumu yake vizuri.
1. Serikali iendelee kusitisha usafirishaji mchanga wa madini Aidha, Kamati inatambua na kuthamini michango iliyotolewa na
makinikia nje ya nchi mpaka pale mrabaha stahiki taasisi mbalimbali zikiwemo Vyombo vya Ulinzi na Usalama nchini,
utakapolipwa Serikalini kwa kuzingatia thamani halisi ya Wakala wa Jiolojia Tanzania, Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali,
makinikia kama ilivyoainishwa kwenye uchunguzi huu. Mamlaka ya Bandari Tanzania, Mamlaka ya Mapato Tanzania, Wakala
2. Serikali ihakikishe kuwa ujenzi wa smelters nchini unafanyika wa Ukaguzi wa Madini Tanzania, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na
haraka ili makinikia yote yachenjuliwe nchini. Hii itawezesha Chuo Kikuu cha Kiislam Morogoro.
madini yote yaliyomo kwenye makinikia kufahamika na Mheshimiwa Rais, kwa heshma kubwa sasa nachukua fursa hii
kutozwa mrabaha halisi. kwa niaba ya Kamati, kukukabidhi nakala sita za Ripoti kamili ya
3. TMAA inatakiwa kufunga tepe za udhibiti kwenye makontena uchunguzi huu. Ninakuomba uzipokee.
mara tu baada ya kuchukua sampuli ili kudhibiti udanganyifu Pia ninaomba nikukabidhi kifurushi chenye nyaraka zote ambazo
unaoweza kutokea baada ya uchukuzi wa sampuli. Kamati ilizikusanya kutoka kwenye taasisi za Serikali zinazohusika
4. TMAA ipime metali zote ambazo zipo kwenye makinikia na katika kusimamia na kudhibiti usafirishaji wa makinika nje ya nchi,
kutumia metali zenye thamani katika kukokotoa kiwango pamoja na nyaraka kutoka kwa wadau mbalimbali wanaohusika
halisi cha mrabaha. katika biashara ya makinikia.
5. Kutokana na uwepo wa madini mbalimbali yenye viwango Aidha, nichukue fursa hii kukufahamisha kwamba sampuli zote za
tofauti kwenye mbale, TMAA ipime viwango vya dhahabu na makinikia na mbale za copper zilizochukuliwa na Kamati na kufanyiwa
metali nyingine muhimu katika mbale zote zinazosafirishwa uchunguzi wa kimaabara, zimehifadhiwa ndani ya kontena moja
nje ya nchi, bila kujali kilichooneshwa kwenye andiko la ambalo liko mahali salama chini ya uangalizi wa vyombo vya Ulinzi
msafirishaji wa mbale husika. Aidha, Wizara ya Nishati na na Usalama vya Serikali. Kwa heshma kubwa ninaomba nikukabidhi
Madini ibainishe tabia za mbale (aina za madini na viwango funguo za kontena lililohifadhi sampuli hizo.
vyake) zilizomo kwenye vyanzo mbalimbali nchini.
Ninaomba kuwasilisha.
NewsBulletin 15
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Mei 26 - June 1, 2017

AFD na TZ kutekeleza miradi mipya katika sekta ya nishati


Na Zuena Msuya, maeneo husika.
Dar Es Salaam Akizungumzia uboreshwaji

S
wa huduma ya umeme katika
hirika la Maendeleo la Mikoa ya Kanda ya Ziwa, Dkt.
Ufaransa( AFD) kwa Pallangyo alisema kuwa AFD
kushirikina na Serikali ya kwa kushirikiana na Wizara wako
Tanzania kupitia Wizara katika hatua nzuri ya uboreshaji
ya Nishati na Madini,ipo wa mfumo wa mawasiliano katika
katika hatua mbalimbali za Gridi ya Taifa yaani ( Scudder)
Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini wakifuatilia majadiliano ya hatua
kutekeleza miradi mipya katika Alisisitiza kuwa miradi yote iliyofikiwa ya utekelezaji wa miradi mipya katika Sekta ya Nishati, Kati
Sekta ya Nishati nchini. iko katika hatua mbalimbali ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia
Naibu Katibu Mkuu wa za utekelezaji ikiwa ni pamoja Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo na ujumbe kutoka Shirika la
Wizara ya Nishati na Madini upembuzi yakinifu, kupata Maendeleo la Ufaransa ( hawapo pichani) .
anayeshughulikia Nishati, Dkt. zabuni ya wakandarasi ujenzi na
Mhandisi Juliana Pallangyo kuwajengea uwezo zaidi wataalam
amesema hayo jijini Dar es salaam wa sekta hiyo katika kutekeleza
wakati wa mazungumzo na miradi hiyo.
ujumbe kutoka AFD juu ya hatua Miradi yote mipya
iliyofikiwa kuelekea utekelezaji itakayotekelezwa na AFD
wa miradi mipya katika sekta ya kwa kushirikiana na Serikali ya
nishati. Tanzania kupitia Wizara ya Nishati
Katika mazungumzo hayo Dkt. na Madini itaanza kutekelezwa
Pallangyo alitaja baadhi ya miradi rasmi 2018 na inatarajiwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia
hiyo kuwa ni pamoja na kujenga kukamilika 2020 ambayo Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo( kulia) wakijadilina hatua iliyofikiwa
kituo cha kuzalisha umeme wa itaimarisha upatikanaji wa huduma ya utekelezaji wa miradi mipya katika sekta ya Nishati na Afisa Programu
maji wa megawati 87 katika eneo la ya umeme wa uhakika nawa kutoka Shirika la Maendeleo la Ufaransa, Sebastian Carreau( katikati) .
Kakono mkoani Kagera, pamoja kutosha katika Mikoa ya Kanda ya
kujenga kituo cha kuzalisha Ziwa, alisema Dkt. Pallangyo.
Umeme Jua wa megawati 150 Naibu Katibu Mkuu wa Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Nishati na Madini
katika Wilaya ya Kishapu mkoani Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt.
Shinyanga. anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo,
Vilevile , kujenga njia ya Mhandisi Juliana Pallangyo watendaji wa Wizara
kusafirisha umeme wa msongo wa pamoja na Shirika la Maendeleo (kushoto) wakijadilina hatua
220 kV kutoka mkoani Geita hadi ya Ufaransa wamefanya iliyofikiwa ya utekelezaji wa
Nyakanazi na kufanya ukarabati mazungumzo hayo, Mei, 25,2017 miradi mipya katika Sekta
wa vituo kumi vya kupooza katika ukumbi wa mikutano wa ya Nishati na ujumbe kutoka
Shirika la Maendeleo la
umeme ili kuimarisha upatikanaji Ofisi ya Wizara ya Nishati na Ufaransa, (kulia) .
wa huduma ya umeme katika Madini jijini Dar es salaam.

KIKAO CHA NAIBU KATIBU MKUU, DKT. MHANDISI


JULIANA PALLANGYO NA WADAU WA SEKTA YA NISHATI
Hivi karibuni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Vikao na wadau hao, vilifanyika Makao Makuu ya Wizara mjini Dodoma,
anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo alikutana na wadau ambapo walijadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya nishati nchini,
mbalimbali wa sekta ya nishati hapa nchini. hususan Mafuta na Gesi.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, anayeshughulikia


Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (wa tatu kutoka kushoto), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, anayeshughulikia
akiwa katika kikao na Ujumbe kutoka Kampuni za ExxonMobil na Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (Kulia), akizungumza na
Statoil, ambazo zinajishughulisha na utafiti wa Mafuta na Gesi katika Mkurugenzi Mkuu wa Muungano wa Kampuni zinazojishughulisha na
Kitalu Namba 2, mkoani Mtwara. Wa pili kutoka kushoto ni Kaimu biashara ya mafuta hapa nchini (Tanzania Association of Oil Marketing
Kamishna wa Nishati na Masuala ya Petroli, Mhandisi Innocent Luoga. Companies - TAOMAC), Salum Bisarara.
Habari za nishati/madini

16 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 26 - June 1, 2017

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


WIZARA YA NISHATI NA MADINI

WAKALA WA NISHATI VIJIJINI


UFAFANUZI KUHUSU HABARI ILIYOCHAPISHWA KATIKA GAZETI
LA JAMHURI TOLEO NA. 295 LA TAREHE 23 29 MEI, 2017
YENYE KICHWA CHA HABARI WAZIRI APIGA DILI
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatoa ufafanuzi kuhusu habari CRB kwa Wakala wa Nishati Vijijini kwa barua yenye Kumb. Na.
iliyochapishwa katika gazeti la Jamhuri Toleo Na. 295 la tarehe EI/0037/10/2009/35 ya tarehe 17 Mei 2017; hivyo ushiriki wa
23 29 Mei, 2017 yenye kichwa cha habari Waziri apiga dili kampuni hizo katika zabuni hiyo ni halali. Wakandarasi wa ndani
kuhusu ununuzi wa zabuni ya wakandarasi wa Mradi Kabambe wanaruhusiwa kushiriki katika zabuni kwa ubia wakiwa na kibali
wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu ulizingatia Sheria cha CRB kushiriki kwenye zabuni husika. Ubia wao unasajiliwa
ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011 (kama ilivyofanyiwa kwenye Daraja la I na CRB baada ya kupata barua ya tuzo kwa
marekebisho Mwaka 2016) pamoja na kanuni zake. Wakala ajili ya kutekeleza mradi katika zabuni husika. Tayari Wakala
unakanusha uwepo wa upendeleo au ushawishi kutoka kwa viongozi wa Nishati Vijijini umetoa barua ya tuzo na kuagiza wakamilishe
wakishirikiana na wakandarasi walioomba zabuni hiyo. taratibu za usajili toka CRB kabla ya kusainiwa kwa mkataba.
Aidha, ubia wa kampuni za MF Electrical Engineering na GESAP
Wakala unafafanua kwamba: Makampuni yaliyoshinda zabuni Engineering Group Limited kupatiwa zabuni walizoshinda ni halali
yalipatikana kwa kuzingatia Sheria na Taratibu za Ununuzi wa kwa kuwa kampuni ya MF Electrical Engineering ambayo ilisajiliwa
Umma na vigezo vilivyowekwa katika kabrasha la zabuni. Aidha, na CRB tarehe 03 Desemba 2015 kama mkandarasi wa umeme
uchambuzi wa zabuni zilizowasilishwa na waombaji wa zabuni Daraja la I (specialized contractor Electric Powerlines and
ulizingatia Sheria na Miongozo iliyotolewa katika kabrasha la Systems) kwa Hati Na. 0367 na GESAP Engineering Group Limited
zabuni. ambayo ilisajiliwa na CRB tarehe 30 Juni 2015 kama mkandarasi
wa umeme Daraja la I kwa Hati Na. 00768.
Kuhusu tuhuma kuwa kuna kampuni zilizopewa zabuni lakini
zikiwa hazikusajiliwa katika Bodi ya Usajili wa Makandarasi Kampuni ya Al- Hatimy Developers Limited ina usajili wa CRB
(CRB) na kampuni ambazo hazikusajiliwa CRB lakini zimeshiriki kama mkandarasi wa umeme Daraja la I kwa Hati Na. 0566
na wabia ambao ni wa madaraja ya chini wasiostahili kupewa iliyotolewa tarehe 11 Septemba 2012 ambapo NIPO Group
zabuni kubwa ambapo zimetajwa kampuni za Guangdong Limited iliwasilisha zabuni kwa ubia wa Nipo Africa Limited yenye
Jianneng Electric Power Engineering na ubia wa Joes Electrical usajili wa CRB kama mkandarasi wa umeme Daraja la V kwa Hati
Ltd, AT & C Pty Ltd na LS Solutions Ltd. Kampuni ya Guangdong Na. 0409 iliyotolewa tarehe 19 Desemba 2014 na kampuni ya
Jianneng Electric Power Engineering (kampuni ya nje) iliwasilisha Kellogg Construction Limited yenye usajili wa CRB kama mkandarasi
zabuni kwa ubia na kampuni ya Whitecity International Contractors wa umeme Daraja la V kwa Hati Na. 00751 iliyotolewa tarehe 19
Limited ambayo ilisajiliwa na CRB tarehe 03 Mei 2012 kama Februari 2014. Kwa sasa Wakala wa Nishati Vijijini umetoa barua
mkandarasi wa umeme Daraja la IV kwa Hati Na. 00625; Aidha, za tuzo kwa kampuni hizo, ambapo ubia wa NIPO Group Limited
kampuni za Joes Electrical Ltd na AT & C Pty Ltd (kampuni za umeagizwa kuwasilisha usajili toka CRB kabla ya kusainiwa kwa
nje) ziliwasilisha zabuni kwa ubia na kampuni ya LS Solutions Ltd mkataba; na kwa kampuni ya Al Hatimy Developers Limited na
ya Tanzania ambayo ilisajiliwa na CRB tarehe 04 Agosti 2009 kampuni nyingine zote za ndani zilizopewa barua za tuzo uhakiki
kama mkandarasi wa umeme Daraja la VII kwa Hati Na. 0346. wa madaraja yao kwa CRB unafanyika kabla ya kusaini mikataba.
Kwa mujibu wa Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011,
Kifungu 51 (3) kampuni za nje zinaruhusiwa kushiriki katika zabuni Mchakato wa kuthibitisha uhalali wa wakandarasi na nyaraka
ama peke yao au kwa ubia na kampuni za ndani au nje kabla walizowasilisha unaendelea kufanyiwa kazi na Wakala kabla ya
ya kusajiliwa na CRB. Wakandarasi wanasajiliwa na CRD kwenye kusaini mikataba. Ikumbukwe kuwa kilichofanyika ni kutoa barua za
Daraja la I baada ya kupata barua ya tuzo kama wanakidhi tuzo kwa wakandarasi. Wakandarasi watasaini mikataba baada
vigezo. Kwa sasa Wakala wa Nishaji Vijijini umetoa barua za kukamilika kwa hatua zinazofuata baada ya kutolewa kwa barua
tuzo na kuagiza walete usajili toka CRB kabla ya kusainiwa kwa za tuzo. Dosari itakayoonekana kwenye hatua yoyote ya mchakato
mkataba wa zabuni. kwa mkandarasi yeyote itasababisha mkandarasi kunyanganywa
mradi alioshinda.
Kuhusu tuhuma kuwa kampuni ambazo hazikusajiliwa CRB
lakini zimeshirikiana na wabia ambao ni wa madaraja ya chini Imetolewa na:
wasiostahili kupewa zabuni kubwa ambapo zimetajwa kampuni za Mkurugenzi Mkuu
Radi Service Limited, Njarita Contractors Ltd na Aquila Electrical
Contractors Limited (kampuni za ndani), kampuni hizi zimesajiliwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
na CRB kwenye madaraja ya III kwa Radi Service Limited, daraja Barabara ya Sam Nujoma, 14414
la V kwa Njarita Contractors Ltd na Aquila Electrical Contractors S. L. P 7990, Dar es Salaam.
Limited katika Daraja V. Kwa mujibu wa Sheria (Contractors
Registration Act CAP 235 RE 2002) na ufafanuzi uliotolewa na Simu +255 22 2412001/2/3, Barua pepe: info@rea.go.tz

Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao
ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na
tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Anda mungkin juga menyukai